Natangaza 'kumdharau' January Makamba rasmi!

HUYO JANUARY MaGAMBA NI MNAFIKI NA MCHAWI TOKA ZAMANI
NI KWELI NYOKA HUZAA NYOKA nilidhani methari za zamani zimepitwa na wakati hasa kwenye utandawazi ningeshaa makamba azae mtoto makini kumbe ni bonge la kilaza mmenishitua kaiba paper halafu kapewa ubunge kwa upendeleo ni heri ya yule mbunge waliomwengua kuliko huyu anayejiita kijana hali kichwa cha kizee na akili za kuibia kila wakati jamaa ni mpuuzi
 
hakika january magamba anania ya kutaka kupata nafasi katika moja ya wizara hizi zinazotegemewa kuachiwa na mawaziri waliopo, sasa hataki kuonekana ni msaliti,
 
Hakuna sehemu ambayo J.Makamba amepinga we inawezekana una matatizo binafsi.Kimsingi utaratibu ndiyo ufuatwe katika kutekeleza dhamira iliyopo na siyo kufanya jambo kubwa kama lile kwa kukurupuka katiba na taratibu za kibunge lazima zifuatwe ili kumuondoa Pinda sasa huyu J.Makamba kakosea wapi?yani kuomba muongozo tu imekuuma sana hebu kuwa muungwana bana.Tumia uelewa wako vizuri katika hili.Wote tunakubali serikali haiwajibiki hivyo kuwawajibisha ni kutumia njia sahihi na siyo hiyo unayoitaka wewe.Bila shaka watanzania wengi tumeelewa sasa namna ya kumwajibisha PM sasa we unataka kama unavyowaza tukifanya hivyo nasi tutakuwa wamajawapo wa watu tunaotaka kuipeleka nchi mahali pabaya.Nafikiri huo ni utaratibu tu Mkuu.
Hiyo njia sahihi ni ipi mkuu? Mwenyekiti wa POAC alilitangazia bunge mbele ya mheshimiwa Naibu spika, naomba utuoneshe hiyo njia mbadala ya kuwaadhibu wezi hawa kwa haraka, kwani jambo hili likicheleweshwa taifa linaangamia.
 
Hakuna sehemu ambayo J.Makamba amepinga we inawezekana una matatizo binafsi.Kimsingi utaratibu ndiyo ufuatwe katika kutekeleza dhamira iliyopo na siyo kufanya jambo kubwa kama lile kwa kukurupuka katiba na taratibu za kibunge lazima zifuatwe ili kumuondoa Pinda sasa huyu J.Makamba kakosea wapi?yani kuomba muongozo tu imekuuma sana hebu kuwa muungwana bana.Tumia uelewa wako vizuri katika hili.Wote tunakubali serikali haiwajibiki hivyo kuwawajibisha ni kutumia njia sahihi na siyo hiyo unayoitaka wewe.Bila shaka watanzania wengi tumeelewa sasa namna ya kumwajibisha PM sasa we unataka kama unavyowaza tukifanya hivyo nasi tutakuwa wamajawapo wa watu tunaotaka kuipeleka nchi mahali pabaya.Nafikiri huo ni utaratibu tu Mkuu.

Ni utaratibu gani ambao Zitto hakuufuata? au unataka kujipambanua hapa kwamba na wewe ni mmoja hao vilaza wezi?
 
kudadadeki
nimchane nisi mchanee!!
Kudadadeki!

Hahaha,dah hiki kiswahili kina elekea
kuhalalishwa sasa,leo nimeona hili gazeti hapa chini.
Nikatikisa kichwa mara 10 10.

540372_397860240237039_728211670_n.jpg
 
Babake anahusikaje hapa?

Ni mwalimu wake katika siasa, ni mashauri wake katika yanayotukia, na ndiye aliyehakikisha anaajiriwa Ikulu alipokuwa ametokea kwenye kale kaghetto kule Sweden kisha akatimkia uingereza na alipoona kote kote bila bila akaambiwa na babake, 'watumishi wake baba wangapi waliopo, wanakula na kusaza chakula chake baba,...nawe wataabika huko, washiriki na nguruwe, chakula kisichofaa yakupasa kurudi, maana nimeshakuandalia ndama mnono katika sehemu ya Magogoni uanze kwa kuwa unaandika hotuba za mkuu wa mafisadi...na sasa anatafuta kubaki na wakuu wengine wa mafisadi waliozomewa leo kule Mby. Kwa wasiojua huyo ni mtandao wa EL na mwingine alishasema hatakosa mboga naye ni walewale...wamebuji wakiibuka watakuwa zaidi ya mkuu wa kaya kwa sasa hivi. Jihadharini na waovu hawa!!
 
ule uhakimu aliupoteza kwa sababu gani vile?ukipata jibu jumlisha na ccm ndo utajua anamaanisha nn.japo mahakama ya tz siamin sana ila inapofikia mahali ikamtosa mtu ujue basi tena
 
Sichukii kutofautiana mawazo na mtu katika jambo lolote,mana unaweza kudhan jambo flan ni kwa maslah ya taifa na ukawa na sababu ambazo kwako ni za msingi lakin mwenzako akaona vinginevyo kwasababu zinazomshawish yeye..ila nachukia unapotumia hila kuzuia wazo la mwingine hata kama linamantiki na kumnyima nafas ya kushawish wengine juu ya wazo lake/kudiscourage wengine hata kumuunga mkono, tena unafika mahali unajifanya hamnazo hata kama unaelewa kinacho. Walichofanya Makamba na Madam Anna sielew kina mantiki gan..Madam Anna kama jins alivyomezeshwa, kakurupuka akianza kwa kunukuu kanuni za bunge anazotaja kua zinaendana na katiba kua; wabunge wakitaka kuleta motion ya ktokua na imani na PM ni lazima waandike barua iliosainiwa na wabunge wasiopungua 20% ambao kwa idadi ya bunge letu ni wabunge 70 then wawasilishe kwa speaker 14 days before intended date of vote..after that akakurupuka"zoez linaloendelea la kupigishana sahihi ni batili kwakua mimi sina taarifa". Sasa taarifa ipi unayotakiwa kupewa mama zaid ya barua yenye saini sabini ambazo ndio zinatafutwa kwa hilo zoez unaloita batili?au hizo sahihi zinapatikanaje basi ili zoez la zitto lisiwe batili kwa mujibu wa kanuni zako?kama kanuni inatoa mwongozo wa namna ya kuandika barua yenye sahihi sabini pasipo kuzikusanya bungen ungefafanua. Hata hivyo huyu mama honestly nimefika mahali nashindwa kumlaumu kwan mara nyingi hua namuona kama hana uwezo wa kufikiri kwa haraka. Akipandikizwa kitu mradi ni cha chama chake nae huenda hewan bila kujiongeza. Lakin Makamba anaelewa kabisa alichofanya sio. Na unafiki wake uko hapa;mara ya kwanza hoja ya sain zitto aliitoa bungen na kutoa wito kwa kila mbunge mwenye nia njema na nchi, na anaeona kua ubadhilifu ulioripotiwa na CAG kufanyika katika wizara mbali mbali unamkera na unastahili hatua kuchukuliwa basi atie sain yake kwe hiyo barua kesho yake asubuh ambapo yeye Zitto alieleza atakua akikusanya sahihi hizo nje ya bunge. Hapa ndio mana hata kina Deo walitia sahihi .
Sasa yeye (Makamba) anapokuja kulalama eti mara nyingi tumekua tukiimba kua tunataka bunge la umoja na huku akijifanya kama hajui hilo zoez la kutia saini linaendaje,nakuhoji kama Madam ana taarifa ya zoez linaloendalea,tena anenda mbali na kudai kua anasikia kwe vyombo vya habari kuhusu hilo zoez!!!!???
Huu ndio unafiki kwan maombi ya saini yalitolewa bungeni na utaratibu uliwekwa wazi. Isitoshe saini zenyewe zilikusanyiwa bungeni na si kwe ofice za CDM.
Ye angekua muwaz tu na msimamo wake kua walichofanya mawazir wa ccm haoni kama kinawafanya kustahili kuwajibishwa au labla anaona kuwawajibisha kwa kupitia kumpigia vote of no comfidence PM ni excessive measures na haina maslah kwa taifa mi ningemuelewa kwakua huku ndio kutofautiana mtazamo kuhusu jambo fulani. Au angekaa tu kimya kwan kuna mtu angemuuliza?
Kama kweli maana nyingine ya Parliament ni kundi la mabundi basi hiyo ni tafsir sahihi na waliotia sahihi ni wachache wenye bahat mbaya waliolazimika kuchanganyika na mabundi katika kutetea nchi yao.
Ukitofautiana na mtazamo huu kwa dhati sikulaumu kwan n haki yako. Nawasilisha.

Nilishasema hapa huyu Dogo J.Makamba ni opportunistic. Mtamjua tu wakati ukifika. Amekaa kimbinu-mbinu hivi.
 
huyu January Magamba anajipendekeza na kwa kikwete na walipanga aje amuulize spika juu ya uhalali wa Zitto kukusanya zile sahihi na mchakato mzima ili kuwakatisha wabunge wengine ili waone mchakato anaoufanya mh zito ni batili waachane nao.Sii kweli kwamba alishindwa kufafanua kifungu kile kwani hata mh kilufi na lukuvi walio na elimu ya Darasa la saba waliweza kukitafsiri bali mpango wake ulikuwa kupotosha ili wabunge waachane na zoezi hilo. kutokana na hayo January Magamba bado ni mnafiki na hana mpango wa kuwatetea watanzania.
 
someni kale kaujumbe,kalikopatikana kutoka VODACOM,Ndio mtaelewa huyo mnaemwongelea ni nani na lengo lake nini
 
mafumbo hatutaki. weka huo 'ujumbe' hapa.

funguka.
Nilishasema hapo zamani na sasa narudia tena, na Mheshimiwa Makamba huwezi kukanusha hili kwani nina ushahidi

Wewe January, kumponda kooote Ngeleja, na kuponda ufisadi serikalini na hususani kwenye nyanja ya umeme....sio kwa uchungu kutoka rohoni...

Wewe January Makamba I DARE YOU! Si wewe uliwaambia TANESCO unapesa za investment ? Ulimwambia Mhando William G naye akaropoka hovyo kwenye wengi na ukaanza mazungumzo na wakubwa juu ya mchakato wa pesa hizo ili kufadhili mradi mmoja mkubwa???......

Hizo pesa umetoa wapi? Hao washirika wako 'wahindi' ni kina nani?

Si wewe unayepewa na MD ripoti zote za ufisadi wa Ngeleja ili ukamate wizara?
Wewe unaongea na mkurugenzi ili umlipue mtu aliyemweka pale....

Si wewe na 'mshirika wako' wa karibu mumemweka mwanasheria mkuu wa vodacom ambaye hakuiomba hiyo kazi TANESCO ili dowans ilipwe!?!

Kataa ntarudi tena..!

Mods unganisha msg yangu kwenye kichwa cha habari au mlio nae kwa FB mumwekee kwenye wall yake....

Ajibu kama hana interest kwenye miradi ya TANESCO
 
Yule jamaa ni opportunist nilimshangaa hata Zitto walipokua nae eti wanasema umri wa kugombea Urais upunguzwe, hawa wanasiasa wote huwa hawaaminiki hasa hapa Afrika...na hilo ni kwasababu sisi wenyewe tunashindwa kuwawajibisha...mtu kama Makamba,Kigwangala,Zambi,Mama Malecela kwanini hawakusign wakati wanaongea mapovu yanawatoka mdomoni!!!
 
Nsiande, you made me feel it...
daah kweli heri mchawi kuliko mnafiki.
 
zitto alisema clous fm siku ya ijumaa kuna mawaziri wamejiuzulu yeye hajui majina aulizwe january kwa kua ni mjumbe wa kamati ya uongozi ya ccm,clouds fm waliimhoji january na kukiri anafahamu maamuzi yote yalofikiwa na pinda atayatangaza jtatu kama walivyokubaliana,wao wakamwita mnafiki kwa kutotia sahihi,sasa kawajibu anajua kitakachojiri ndo maana hachongi wasojua ndo wanachonga
 
January Magamba huyo mtoto ni mbaya sana,pindi akiwa pale mjengoni alifanya nini? Na sasa ni mbunge wa bumbuli,na huo ubunge aliupata kupitia mgongo wa baba yake mzee yusuph makamba pindi akiwa katibu mkuu wa chama cha majizi (ccm) makamba acha kulopoka kaa kimya uwaziri huupati ng'o

siyo tu kwa mgingo wa baba yake lakini baya zaidi aliupata kwa rushwa ya aibu. tumeshamtaka mara nyingi humu jamvini akanushe uchafu huu anaojifanya kujitenga nao lakini hajawahi kanusha. Na si kwa bahati mbaya .anajua akifanya hivyo tutamuumbua kwa kiwango cha kutisha. poleni kwa wale mlohadaiwa na huyu opportunist and most arrogant
 
Back
Top Bottom