Tatizo jingine la statement fupifupi kama hizo, maana halisi anaijua aliyeiweka. Sie wengine tunapapasa tu. Anaweza kuja hapa na kutoa maana tofauti na haya tunayojadili
Another hypocrit in the making.pole sana. utakumbuka shuka kumeshakucha
Tatizo jingine la statement fupifupi kama hizo, maana halisi anaijua aliyeiweka. Sie wengine tunapapasa tu. Anaweza kuja hapa na kutoa maana tofauti na haya tunayojadili
hakika january magamba anania ya kutaka kupata nafasi katika moja ya wizara hizi zinazotegemewa kuachiwa na mawaziri waliopo, sasa hataki kuonekana ni msaliti,
Duh... hapa umenifunua akili maana najua Makamba hana hela hizo lakini EL anazo anaitaka sana Tanesco kuwa mmiliki mkuu wa uzalishaji umeme nchini maana hakuna bao kubwa la kitaifa kama kushika mradi wa umeme nchi yoyote duniani.. Picha inajitengeneza yenyewe.Nilishasema hapo zamani na sasa narudia tena, na Mheshimiwa Makamba huwezi kukanusha hili kwani nina ushahidi
Wewe January, kumponda kooote Ngeleja, na kuponda ufisadi serikalini na hususani kwenye nyanja ya umeme....sio kwa uchungu kutoka rohoni...
Wewe January Makamba I DARE YOU! Si wewe uliwaambia TANESCO unapesa za investment ? Ulimwambia Mhando William G naye akaropoka hovyo kwenye wengi na ukaanza mazungumzo na wakubwa juu ya mchakato wa pesa hizo ili kufadhili mradi mmoja mkubwa???......
Hizo pesa umetoa wapi? Hao washirika wako 'wahindi' ni kina nani?
Si wewe unayepewa na MD ripoti zote za ufisadi wa Ngeleja ili ukamate wizara?
Wewe unaongea na mkurugenzi ili umlipue mtu aliyemweka pale....
Si wewe na 'mshirika wako' wa karibu mumemweka mwanasheria mkuu wa vodacom ambaye hakuiomba hiyo kazi TANESCO ili dowans ilipwe!?!
Kataa ntarudi tena..!
Mods unganisha msg yangu kwenye kichwa cha habari au mlio nae kwa FB mumwekee kwenye wall yake....
Ajibu kama hana interest kwenye miradi ya TANESCO
huyu si ndiye yule anayetaka uwaziri wa nishati na madini?
Sasa hiyo ndo ile "mbwata" ambayo wahenga walisema kuwa mswahili akipata masaburii hulia mbwata! J makamba nadhani sasa masaburii yake yameshaanza kutoa huo mlio wa Mbwata!! Hawezi kejeli watanzania katika ishu serious kama hii. Anaona raha gani kwa huu wizi wa mchana wa serikali yake dokozi???Mtoto wa nyoka siku zote ni nyoka. Huyu ni mtoto cha kiongozi wa CCM, kasomeshwa kwa hela za rushwa na sasa anazeeka kwa hela za rushwa so kwake rushwa na ufisadi ni part and parcel ya maisha yake.Kweli watu wakishiba wana dharau sana.
Nilishasema hapo zamani na sasa narudia tena, na Mheshimiwa Makamba huwezi kukanusha hili kwani nina ushahidi
Wewe January, kumponda kooote Ngeleja, na kuponda ufisadi serikalini na hususani kwenye nyanja ya umeme....sio kwa uchungu kutoka rohoni...
Wewe January Makamba I DARE YOU! Si wewe uliwaambia TANESCO unapesa za investment ? Ulimwambia Mhando William G naye akaropoka hovyo kwenye wengi na ukaanza mazungumzo na wakubwa juu ya mchakato wa pesa hizo ili kufadhili mradi mmoja mkubwa???......
Hizo pesa umetoa wapi? Hao washirika wako 'wahindi' ni kina nani?
Si wewe unayepewa na MD ripoti zote za ufisadi wa Ngeleja ili ukamate wizara?
Wewe unaongea na mkurugenzi ili umlipue mtu aliyemweka pale....
Si wewe na 'mshirika wako' wa karibu mumemweka mwanasheria mkuu wa vodacom ambaye hakuiomba hiyo kazi TANESCO ili dowans ilipwe!?!
Kataa ntarudi tena..!
Mods unganisha msg yangu kwenye kichwa cha habari au mlio nae kwa FB mumwekee kwenye wall yake....
Ajibu kama hana interest kwenye miradi ya TANESCO