Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
KWANINI TUNAMHITAJI JANUARY ?
Zaidi ya 85% ya wafanyakazi na nguvu kaziTanzania ni vijana walozaliwa baada ya Uhuru 1961. Nusu ya vijana hawa nikizazi cha Millenia walozaliwa miaka ya 1980s na wana umri wa wa chini yamiaka 35.Hawa wengi ni dot.com generation haawakuwepo nchi hasa ilipitia hatuagani hadi kufika hapa tulipo fikia. Hawajui yalio tokea wakati wa kujaribu serambali mbali kuanzia ubepari , Ujamaa , liberised economy , hawakuweponchi..ilipokuwa na raha na shida mbali mbali .Wengi hawajui zaidi ya kusomanchi wakati wa Ujamaa ilikua na ladha gani.wengi wamekuwa na matarajio namafanikio makubwa hasa kama yanayotokea katika nchi za wenzetu.Utandwaziunawafanya wawe na matumaini ya kufika sehemu ya kutia moyo kiuchumi na mandeleo ya nchi yao. Wengiwanapenda kuona wanaondokana na foleni zisizo isha, wangependa uwepo wa trainza kasi kutoka Dar es salaam hadi Mwanza. Wanapenda kuona nchii hii inakuwa nashirika lake la ndege..pia wanapenda waone elimu inayotolewa iwe ni elimu borainayomjenga kijana kuweza kujitolea.hakika matarajio yao ni makubwa mno..Lakiniutabaki matarajio ya vijana hawa na mafanikio ya kiuchumi kwa ajili ya kizazihichi si hasa ya kutia moyo..yana katisha tamaa na vijana wanapunguzauzalendo,wanaingia katika biashara hasi na wamekataa tamaa.
CHANGE.
Tanzania inahitaji mabadiliko ya uongozi Inahitaji Kiongozi kijana anaye elewa nini wananchi wa sasa wanahitaji.Tunahitaji kiongozi mwenye wivu wa maendeleo mwenye kuona mbali na kuanzasafari ya kuipeka Tanzania katika maendeleo ya kisasa. Kiongozi ataehakikishavijana wanapata elimu bora kabisa ambayo itawawezesha wenyewe kujiajiri.Kiongozi mzalendo ataeweka maslahi ya nchi mbele kuliko malsahi ya CorporateEntity za nje ambazo lengo lao ni kuzinyonya nchi hizi.
Tumepita miaka 53 sasa ya uhuru viongozi wengi ni wale wale ambao tumetoka naotangia uhuru na wengine baada ya uhuru lakini mind zao na uwezo wao bado ni wa60s na 70s hawa tunawashukuru , wamefanya mengi sasa Taifa linahitaji CHANGE, linahitaji kijana mkakamavu, mwerevu , mzalendo, mwenye uwezo wa kutuvushahapa tulipo na kutupeleka kuleeeeee...kama alivosema Kikwete leo bungeni.
Viongozi wetu kisiasa
Hali ya kisasa Tanzania kwa ujumla ni mabaki ya wakoloni bado sisi ni memba waCommon wealth Jumuiya ya watawaliwa wa Uingereza na Mkubwa wetu ni Malkia wauingereza na akifa ni yoyote katika watoto wa jumba hilo la mfalme.Nchi kamaMarekani na Canada Quebec , Zimbabwe na Gambia walijitoa kwani waliona kuwepokatika Jumuia hii ni sawa ya kuwa chini ya ukoloni mambo leo wa Kifalme waUingereza.
Mifumo iliowekwa na wakoloni , elimuiliyotolewa viongozi walotayarishwa kuongoza nchi hizi huru walitekwakimawazo na bado waliendelea kuwa watiifu kwa wakoloni hao. . Wakati wa uhuru,baadhi ya wasomi walijaribu kubadilisha lakini hawakufanikiwa ama yalitokeamapinduzi ya kijeshi au viongozi walijimilikia madaraka na kuweka maslahi yaohivyo wasomi hawa walipata matatizo na watawala. Bado nchi nyingi za kiafrikana Tanzania ikiwamo inategemea sana wale wale walokuwa wakoloni wa mataifa hayabaada ya zaidi ya miaka 50 ya kuwa huru.Tatizo hili lipo zaidi Afrika. Nchizote nyengine nje ya Afrika mfano Malaysia, Indonesia,Thailand,Philipines,Singapore, India, UAE, Oman, zimepiga hatua kubwa za maendeleo kamanchi huru zilizopata uhuru wao miaka sawa na sisi Tanzania.
Wakati Lee Kuan Yew Waziri mkuu wa kwanza Singapore akiibadilisha nchi hiokutoka kisiwa cha wavuvi hadi kuwa moja ya nchi zilizo endelea na viwanda sisitulibaki wategemezi na moja ya nchi masikini duniani.
Tujiulize kwa nini ? Nchii yetu ina kila kitu
· Watu
· Rasilimali
· Amani
Jee tumekwama wapi ? bila ya shaka tatizokubwa lipo kwenye
· Elimu duni
· Uongozi wa kikale
· Umimi
· Uzalendo kubaki ni rangi
· Uoni mfupi
Jee nini cha kufanya...
CCM ni chama pekee ambacho kama Taasisikimejijenga na kinaweza kuamua kuwa sasa Watanzania wanataka Kiongozi Mpya ,Kijana , Msomi mwenye uwezo wa kutuvusha hapa katika lindi la mkwamo wamaendeleo...lakini lazima CCM ifumbe macho katika kuamua, bado masalia ya zakale wapo na wana nguvu za kifedha na support ya watu ambao wanahakikishastatus quo inaendelea ili wafaidi keki ya Taifa pekee yao bila ya kujalimaendeleo ya Nchi ..
Jee ni nani katika wagombea wa CCM ambayendie atakua Lee Kuan Yew wetu ?Bila ya shaka yoyote..ni JANUARY MAKAMBA
Sifa na uwezo anao.Kama kweli tunataka kuondokana na majungu na siasa za 60 na 70 baso Januaryndio suluhisho.
Zaidi ya 85% ya wafanyakazi na nguvu kaziTanzania ni vijana walozaliwa baada ya Uhuru 1961. Nusu ya vijana hawa nikizazi cha Millenia walozaliwa miaka ya 1980s na wana umri wa wa chini yamiaka 35.Hawa wengi ni dot.com generation haawakuwepo nchi hasa ilipitia hatuagani hadi kufika hapa tulipo fikia. Hawajui yalio tokea wakati wa kujaribu serambali mbali kuanzia ubepari , Ujamaa , liberised economy , hawakuweponchi..ilipokuwa na raha na shida mbali mbali .Wengi hawajui zaidi ya kusomanchi wakati wa Ujamaa ilikua na ladha gani.wengi wamekuwa na matarajio namafanikio makubwa hasa kama yanayotokea katika nchi za wenzetu.Utandwaziunawafanya wawe na matumaini ya kufika sehemu ya kutia moyo kiuchumi na mandeleo ya nchi yao. Wengiwanapenda kuona wanaondokana na foleni zisizo isha, wangependa uwepo wa trainza kasi kutoka Dar es salaam hadi Mwanza. Wanapenda kuona nchii hii inakuwa nashirika lake la ndege..pia wanapenda waone elimu inayotolewa iwe ni elimu borainayomjenga kijana kuweza kujitolea.hakika matarajio yao ni makubwa mno..Lakiniutabaki matarajio ya vijana hawa na mafanikio ya kiuchumi kwa ajili ya kizazihichi si hasa ya kutia moyo..yana katisha tamaa na vijana wanapunguzauzalendo,wanaingia katika biashara hasi na wamekataa tamaa.
CHANGE.
Tanzania inahitaji mabadiliko ya uongozi Inahitaji Kiongozi kijana anaye elewa nini wananchi wa sasa wanahitaji.Tunahitaji kiongozi mwenye wivu wa maendeleo mwenye kuona mbali na kuanzasafari ya kuipeka Tanzania katika maendeleo ya kisasa. Kiongozi ataehakikishavijana wanapata elimu bora kabisa ambayo itawawezesha wenyewe kujiajiri.Kiongozi mzalendo ataeweka maslahi ya nchi mbele kuliko malsahi ya CorporateEntity za nje ambazo lengo lao ni kuzinyonya nchi hizi.
Tumepita miaka 53 sasa ya uhuru viongozi wengi ni wale wale ambao tumetoka naotangia uhuru na wengine baada ya uhuru lakini mind zao na uwezo wao bado ni wa60s na 70s hawa tunawashukuru , wamefanya mengi sasa Taifa linahitaji CHANGE, linahitaji kijana mkakamavu, mwerevu , mzalendo, mwenye uwezo wa kutuvushahapa tulipo na kutupeleka kuleeeeee...kama alivosema Kikwete leo bungeni.
Viongozi wetu kisiasa
Hali ya kisasa Tanzania kwa ujumla ni mabaki ya wakoloni bado sisi ni memba waCommon wealth Jumuiya ya watawaliwa wa Uingereza na Mkubwa wetu ni Malkia wauingereza na akifa ni yoyote katika watoto wa jumba hilo la mfalme.Nchi kamaMarekani na Canada Quebec , Zimbabwe na Gambia walijitoa kwani waliona kuwepokatika Jumuia hii ni sawa ya kuwa chini ya ukoloni mambo leo wa Kifalme waUingereza.
Mifumo iliowekwa na wakoloni , elimuiliyotolewa viongozi walotayarishwa kuongoza nchi hizi huru walitekwakimawazo na bado waliendelea kuwa watiifu kwa wakoloni hao. . Wakati wa uhuru,baadhi ya wasomi walijaribu kubadilisha lakini hawakufanikiwa ama yalitokeamapinduzi ya kijeshi au viongozi walijimilikia madaraka na kuweka maslahi yaohivyo wasomi hawa walipata matatizo na watawala. Bado nchi nyingi za kiafrikana Tanzania ikiwamo inategemea sana wale wale walokuwa wakoloni wa mataifa hayabaada ya zaidi ya miaka 50 ya kuwa huru.Tatizo hili lipo zaidi Afrika. Nchizote nyengine nje ya Afrika mfano Malaysia, Indonesia,Thailand,Philipines,Singapore, India, UAE, Oman, zimepiga hatua kubwa za maendeleo kamanchi huru zilizopata uhuru wao miaka sawa na sisi Tanzania.
Wakati Lee Kuan Yew Waziri mkuu wa kwanza Singapore akiibadilisha nchi hiokutoka kisiwa cha wavuvi hadi kuwa moja ya nchi zilizo endelea na viwanda sisitulibaki wategemezi na moja ya nchi masikini duniani.
Tujiulize kwa nini ? Nchii yetu ina kila kitu
· Watu
· Rasilimali
· Amani
Jee tumekwama wapi ? bila ya shaka tatizokubwa lipo kwenye
· Elimu duni
· Uongozi wa kikale
· Umimi
· Uzalendo kubaki ni rangi
· Uoni mfupi
Jee nini cha kufanya...
CCM ni chama pekee ambacho kama Taasisikimejijenga na kinaweza kuamua kuwa sasa Watanzania wanataka Kiongozi Mpya ,Kijana , Msomi mwenye uwezo wa kutuvusha hapa katika lindi la mkwamo wamaendeleo...lakini lazima CCM ifumbe macho katika kuamua, bado masalia ya zakale wapo na wana nguvu za kifedha na support ya watu ambao wanahakikishastatus quo inaendelea ili wafaidi keki ya Taifa pekee yao bila ya kujalimaendeleo ya Nchi ..
Jee ni nani katika wagombea wa CCM ambayendie atakua Lee Kuan Yew wetu ?Bila ya shaka yoyote..ni JANUARY MAKAMBA
Sifa na uwezo anao.Kama kweli tunataka kuondokana na majungu na siasa za 60 na 70 baso Januaryndio suluhisho.