Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,732
Usilolijua ni usiku wa giza. Mimi naamini kuna waliompigia kura Magufuli wakijua watapata neema na maisha yao yatakua rahisi kama ilivyokua mwanzoni.
Natamani kupata maoni yao na kujua maisha wanayoishi sasa hivi. Poleni kwa mliojiaminisha goodlife inaweza kuwepo bila kuhangaika
Good day
Natamani kupata maoni yao na kujua maisha wanayoishi sasa hivi. Poleni kwa mliojiaminisha goodlife inaweza kuwepo bila kuhangaika
Good day