NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
BINAFSI NINGEPENDA JPM AWE RAIS WA MAISHA WA TANZANIA! "Who's the cape fit let him wear it"(R.NESTA MARLEY)
zimeibwa au HAMKUMPIGIA MACHOKAANilie mm jombaa..... Wala hata sikupiga kura nikaungue jua kisa nini NA najua kura zimeibwa
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Sijawahi kujuta, kura yangu ilienda sehemu salama, kama wewe ulizungusha mikono pole, huwezi kumkabidhi panya akulindie karanga! Lowasa hafai na hatafaa!Usilolijua ni usiku wa giza. Mimi naamini kuna waliompigia kura Magufuli wakijua watapata neema na maisha yao yatakua rahisi kama ilivyokua mwanzoni.
Natamani kupata maoni yao na kujua maisha wanayoishi sasa hivi. Poleni kwa mliojiaminisha goodlife inaweza kuwepo bila kuhangaika
Good day
Unajua kirefu cha jpm ?Tunajisikia vizuri sana yani full shangwe jpm ni kila kitu mtumishi wa watu.
Mimi binafsi najisikia furaha sana, niliwaamini chadema, ila baada ya gia kubadiulishiwa hewani, nikamchagua tingatinga Magufuli. Sijawai kujuta na sitojuta.
Wale mlioshabikia ukawa mnajisikiaje sasa
Komesha hao wenye meno ya kutu kama kashataNi rais wa Tanzania
Utasomaje namba mimi sijikombi ila huu ni ukweli Magufuli ni kiongozi mzuri ila lazima sio kila kitu akifanya wananchi wapende maana hata yeye ni mwanadamu kuna vitu mtamfurahia mengine hamtamfurahia ata aje nani ni hivyo tu. ila mimi nampenda kwa mengii tu sioni kuna shida kama hutakiwa unampinga mf.wewe unasoma unamtegemea mzazi ila hujitahidi hela akikupa ya shule unahonga hadi ada unategemea mzazi atakufurahia akuambie mtoto wangu mpenzi hongera chukua ingine au anakuadhibu .
Watu walizoea mengi ambayo sasa ni full stop bado wataisoma namba tu mmpaka watanyooka eti.
Kabisa siku hizi watu hurudi nyumbani saa kumi anatulia kama kamwagiwa maji ya barafu.
Ambao hawajaoa wamelala au wapo watsupp.
Hoyee Magufuli wetu tunakupenda sanaa Wasiokupenda wasome namba wewe ni Raisi wetu wapende wasipende wasipotaka wanywe pombe wasahau wakalale au watulie tu walie kimoyomoyo.
Mpoooo.