Na ndo mana hujutii kwakweli...... Wenzako wanaenda mbele we unarud nyumaMimi nilimpa na ntampa 2010 na sijutii kumpa.
Tunapeta na tunamshukuru Mungu kuwa kura zetu hazikuharibika, JPM ni chaguo la Mungu! Tunaomba kwa Mungu aendelee kukaza hivi hivi au aongeze zaidi, heshima inarudi! Asiyefanya kazi na asile!!Usilolijua ni usiku wa giza. Mimi naamini kuna waliompigia kura Magufuli wakijua watapata neema na maisha yao yatakua rahisi kama ilivyokua mwanzoni.
Natamani kupata maoni yao na kujua maisha wanayoishi sasa hivi. Poleni kwa mliojiaminisha goodlife inaweza kuwepo bila kuhangaika
Good day
Kwani kilo moja ya mchele unayo uziwa ww ni tofauti na mtu anaeshabikia ukawa???Mimi binafsi najisikia furaha sana, niliwaamini chadema, ila baada ya gia kubadiulishiwa hewani, nikamchagua tingatinga Magufuli. Sijawai kujuta na sitojuta.
Wale mlioshabikia ukawa mnajisikiaje sasa
Tuliompigia tunaona raha mstarehe kabisa na wala hatulalamiki isipokuwa kwa wale wanaoisoma namba na ambao hawakumpigia kura kama wewe ndio mnaolalamikaUsilolijua ni usiku wa giza. Mimi naamini kuna waliompigia kura Magufuli wakijua watapata neema na maisha yao yatakua rahisi kama ilivyokua mwanzoni.
Natamani kupata maoni yao na kujua maisha wanayoishi sasa hivi. Poleni kwa mliojiaminisha goodlife inaweza kuwepo bila kuhangaika
Good day
Dah...mie nashauri hata uchaguzi usiwepo ili hiyo pesa tufanyie maendeleo ya kweliMwaka 2020 Magufuli atashinda kwa kishindo sana zaidi ya asilimia 90