Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,660
- 20,994
- Thread starter
- #21
Kuitaja hapa si hekima n bank KUBWA tu hapa Tanzania.Benki gani hio mtu analipa na bado wanataka kuuza nyumba? Kuna kitu hujatueleza hapa.
Kuitaja hapa si hekima n bank KUBWA tu hapa Tanzania.Benki gani hio mtu analipa na bado wanataka kuuza nyumba? Kuna kitu hujatueleza hapa.
Kama mteja wao mzuri kuna room ya kujadiliHabari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.
Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15.
Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40, kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu.
What should I do to stop that shits.
PM nikupe madiniKuitaja hapa si hekima n bank KUBWA tu hapa Tanzania.
Poa mkuu!PM nikupe madini