Natafuta Mwenza !!

We jamaa hovyo kabisa vigezo gani hivyo ulivyoweka wewe huna harufu??!!! Mijitu mingine bana kawa michawi vile
 
We jamaa hovyo kabisa vigezo gani hivyo ulivyoweka wewe huna harufu??!!! Mijitu mingine bana kawa michawi vile
Jamani Desi poleeeeeee.........Huyu jamaa atakuwa amekuharibia siku yako dear. Cheki PM utafurahi ghafla.
 
Msinishangae. Nina miaka 33, single, Msomi, Digrii ya Engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda Roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae. Lazima awe na umbo na Sura ya kuvutia, Napenda Hips na Maziwa makubwa. Lazimwa awe msafi. sitaki mwanamke mwenye harufu chafu au mdomo mchafu. Ukiwa mwembamba pia poa lakini maziwa makubwa muhimu. Sitaki mwanamke mwenye Mume, au Boyfriend, lazima awe single na kazi yake ya maana siyo changudoa. Hata kama hauna kazi, lakini hawe na heshima zake.....Mwenyewe utapenda

sina, mke, mtoto wala drama, kwa hiyo usilete drama... ukiwa na mtoto mmoja poa. ila isije ikawa kuna drama nyuma yake. kwa maana nitachomoka yanikinizidi kimo

Simu tubabadilishana baada ya muda wa kuwasiliana. Nipo Dar. muheza1982@hotmail.com

Koma lia nao tu mkuu...
 
Vijana wa siku hizi wamekuwa madomo zege wa kufa mtu.

Wanawake kibao mitaani, wazuri na wenye heshima zao wanaogopa kuwatongoza wanakuja kulialia huku mitandaoni.

Hivi hii mitandao isingekuwepo ingekuwaje?:juggle::juggle:
 
Vijana wa siku hizi wamekuwa madomo zege wa kufa mtu.

Wanawake kibao mitaani, wazuri na wenye heshima zao wanaogopa kuwatongoza wanakuja kulialia huku mitandaoni.

Hivi hii mitandao isingekuwepo ingekuwaje?:juggle::juggle:

Babu.....vijana wanaenda na wakati ati! Hata kwenye uchumba ni mambo ya dot.com.....!!!! Wewe unataka watumie mbinu ulizotumia wewe enzi zileeeeeeee........
 
Babu.....vijana wanaenda na wakati ati! Hata kwenye uchumba ni mambo ya dot.com.....!!!! Wewe unataka watumie mbinu ulizotumia wewe enzi zileeeeeeee........

Enzi za ukitongoza demu lazima ang'ate unyasi....ilikuwa na raha yake bana!:juggle:
 
Enzi za ukitongoza demu lazima ang'ate unyasi....ilikuwa na raha yake bana!:juggle:

Hahahaha......mabinti wa siku za hizi wanakuangalia kwenye macho..hakuna kuangalia chini.. hahah! vijana wanakosa ujasiri wa kutongoza....
 
Hahahaha......mabinti wa siku za hizi wanakuangalia kwenye macho..hakuna kuangalia chini.. hahah! vijana wanakosa ujasiri wa kutongoza....

Hehehe...wakiona unachelewa wanakuwahi kwa kukukonyeza. Nashangaa kwanini vijana wasiku hizi wanashindwa kutongoza wakati mabinti siku hizi hawajui kusema 'Aku thtaki mie, ntakuthemea kwa baba"

Siku hizi mambo kiulainiii?

Mimi: Mambo
Binti: Poa
Mimi: Sasa:
Binti: Nakusikiliza wewe
Mimi: Kesho jioni utakuwa na nafasi?
Binti: Saa ngapi
Mimi: Kwenye kumi unusu hivi
Binti: Hamna noma, ntakubipu mama akitoka. Lakini usindanganye...........

Kwisha mchezo!!!
 
Hehehe...wakiona unachelewa wanakuwahi kwa kukukonyeza. Nashangaa kwanini vijana wasiku hizi wanashindwa kutongoza wakati mabinti siku hizi hawajui kusema 'Aku thtaki mie, ntakuthemea kwa baba"

Siku hizi mambo kiulainiii?

Mimi: Mambo
Binti: Poa
Mimi: Sasa:
Binti: Nakusikiliza wewe
Mimi: Kesho jioni utakuwa na nafasi?
Binti: Saa ngapi
Mimi: Kwenye kumi unusu hivi
Binti: Hamna noma, ntakubipu mama akitoka. Lakini usindanganye...........

Kwisha mchezo!!!

hahahahah...eti nitakusemea kwa baba!!!!...........Vijana wa siku hizi mpaka wanaanzisha sredi "eti nampenda nashindwa nimwambieje".....Inabidi uanzishe tution babu kwa vijana uwape shule...........
 
hahahahah...eti nitakusemea kwa baba!!!!...........Vijana wa siku hizi mpaka wanaanzisha sredi "eti nampenda nashindwa nimwambieje".....Inabidi uanzishe tution babu kwa vijana uwape shule...........

Hahahahaha................!

Unaweza ukawa unatoa twisheni ukashngaa unaambiwa: Oyaaa babu unatuwekea usiku hapa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom