Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

john issa

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
592
1,111
Sifa za mke:

1. Awe muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Mweupe na urefu wa katikat
4. Umbo la kuvutia
5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi
6. Asiwe mkali na hasira hasira
7. Awe tayari kupima afya
8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho
9. Awe tayari kuwa na watoto wawili tu
10. Asiwe na maisha ya kujikweza
11. Awe ni mtu wa kujari mme , ata nispomwambia kitu aweze kujiongeza. Mf: nikiwa job night aweze kuniandalia chai ya tangawizi au maziwa bila kuniambia kwa kifupi ajali mme
12. Awe na malengo makubwa ya kimaisha
13. Akiwa na mtoto mmoja au huna mtoto kabisa itapendeza

sifa zangu:

1. Sio mrefu wala mfupi
2. Mwislam
3. Mfanyabiashara
4. Muajiriwa taasisi binafsi
5. Mfugaji wa kati
6. Muwekezaji wa kila siku
7. Miwezi kumnyanyasa mwanamke lakin pia, siwezi kumzuia aondoke kama ameona hatuendani
8. Mpole sana na sipendi kununiwa muda mrefu
9. Mina watoto wawili ndani ya ndoa iliyovunjika mwaka jana
10. Nina miaka 29
11. Sina hela cash, zote ziko busy lakin pia sio maskini

Nimepanga sijajenga: niko Songwe kwa sasa, lakini natarajia kuishi Kigamboni

Kwa aliye serious tu, aje PM na awapende wanangu wawili.

Ahsante.
 
aiseeee๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ

Depal Joannah Joanah Lamomy njooni muone๐Ÿ˜‚
Kigezo namba Moja kimenitoa kwenye reli,,,
Kigezo namba 8 kimenishangaza.
Kigezo namba 11 kimenichekesha.....Ila atasubiri sana kupata mke Kwa vigezo vyake hivyo labda aombe UTUMISHI wamsaidie kutangaza๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kigezo namba Moja kimenitoa kwenye reli,,,
Kigezo namba 8 kimenishangaza.
Kigezo namba 11 kimenichekesha.....Ila atasubiri sana kupata mke Kwa vigezo vyake hivyo labda aombe UTUMISHI wamsaidie kutangaza๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
nimecheka sana:D:D:D
 
Sifa za mke:

1. Awe muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Mweupe na urefu wa katikat
4. Umbo la kuvutia
5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi
6. Asiwe mkali na hasira hasira
7. Awe tayari kupima afya
8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho
9. Awe tayari kuwa na watoto wawili tu
10. Asiwe na maisha ya kujikweza
11. Awe ni mtu wa kujari mme , ata nispomwambia kitu aweze kujiongeza. Mf: nikiwa job night aweze kuniandalia chai ya tangawizi au maziwa bila kuniambia kwa kifupi ajali mme
12. Awe na malengo makubwa ya kimaisha
13. Akiwa na mtoto mmoja au huna mtoto kabisa itapendeza

sifa zangu:

1. Sio mrefu wala mfupi
2. Mwislam
3. Mfanyabiashara
4. Muajiriwa taasisi binafsi
5. Mfugaji wa kati
6. Muwekezaji wa kila siku
7. Miwezi kumnyanyasa mwanamke lakin pia, siwezi kumzuia aondoke kama ameona hatuendani
8. Mpole sana na sipendi kununiwa muda mrefu
9. Mina watoto wawili ndani ya ndoa iliyovunjika mwaka jana
10. Nina miaka 29
11. Sina hela cash, zote ziko busy lakin pia sio maskini

Nimepanga sijajenga: niko Songwe kwa sasa, lakini natarajia kuishi Kigamboni

Kwa aliye serious tu, aje PM na awapende wanangu wawili.

Ahsante.
Kama ulimwacha wa kwanza, na wa pili ajiandae!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom