Cpp JF-Expert Member Nov 1, 2012 1,116 2,214 Mar 29, 2023 #1 Kama heading inavyosema wakuu, anahitajika mtu awe Dar hata akiwa na kazi yake hakuna shida. Mwenye sifa anicheck DM tuyajenge.
Kama heading inavyosema wakuu, anahitajika mtu awe Dar hata akiwa na kazi yake hakuna shida. Mwenye sifa anicheck DM tuyajenge.
Econometrician JF-Expert Member Oct 25, 2013 15,797 28,467 Mar 29, 2023 #2 Toa maelezo toshelezi anahutajika kwa ajili ya nini? Unaandika kama mtoto wa darasa LA 7
Cpp JF-Expert Member Nov 1, 2012 1,116 2,214 Mar 29, 2023 Thread starter #3 Econometrician said: Toa maelezo toshelezi anahutajika kwa ajili ya nini? Unaandika kama mtoto wa darasa LA 7 Click to expand... Njoo dm tuyajenge
Econometrician said: Toa maelezo toshelezi anahutajika kwa ajili ya nini? Unaandika kama mtoto wa darasa LA 7 Click to expand... Njoo dm tuyajenge
Nsombasy Member Jan 26, 2012 80 280 Mar 29, 2023 #4 Cpp said: Kama heading inavyosema wakuu , anahitajika mtu awe Dar hata akiwa na kazi yake hakuna shida. Mwenye sifa anicheck dm tuyajenge. Click to expand... Kuna mtu namfahamu alisoma Public Health, yupo kazini hapa Dar. Nacheki nae kama yupo humu nitaku-link nae
Cpp said: Kama heading inavyosema wakuu , anahitajika mtu awe Dar hata akiwa na kazi yake hakuna shida. Mwenye sifa anicheck dm tuyajenge. Click to expand... Kuna mtu namfahamu alisoma Public Health, yupo kazini hapa Dar. Nacheki nae kama yupo humu nitaku-link nae
Cpp JF-Expert Member Nov 1, 2012 1,116 2,214 Mar 29, 2023 Thread starter #5 Nsombasy said: Kuna mtu namfahamu alisoma Public Health, yupo kazini hapa Dar. Nacheki nae kama yupo humu nitaku-link nae Click to expand... Shukrani mkuu
Nsombasy said: Kuna mtu namfahamu alisoma Public Health, yupo kazini hapa Dar. Nacheki nae kama yupo humu nitaku-link nae Click to expand... Shukrani mkuu
Ego is the Enemy JF-Expert Member Mar 21, 2014 7,419 14,191 Mar 29, 2023 #6 Toa namba nimpe mtu simu yako uongee. Weka pm Kama vipi