Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,488
- 19,288
Kuna kabiashara kangu hapa DSM, nimeleta mfanyakazi toka mkoani, nahitaji kumpangishia chumba kimoja self,
1. Chumba 1 self maeneo ya Kawe, mwenge, msasani, au popote nitachagua nikipapenda
2.kitanda 1 futi 4x6
3.godoro 1 futi 4x6
kama kuna anayeuza hivyo, tuwasiliane.
1. Chumba 1 self maeneo ya Kawe, mwenge, msasani, au popote nitachagua nikipapenda
2.kitanda 1 futi 4x6
3.godoro 1 futi 4x6
kama kuna anayeuza hivyo, tuwasiliane.