Salaam,Shalom!!
(Mithali 19:17)
Amhurumiaye maskini, humkopesha BWANA.
Mungu anachukia sana Umaskini, lakini anawapenda sana maskini,
Mungu ndiye hufukarisha, na ndiye hutajirisha!!
Maskini wa Leo ni tajiri kesho, maana Mungu ndiye huwapandisha maskini na kuwaketisha pamoja na wakuu na...
Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro lingine premium,halina spring lakini linanesa sana na bei yake ni juu kidogo kuliko la Spring...
Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu
Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada
Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia...
Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa...
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu...
Vitanda na magodoro katika familia nyingi za Kiafrika vimetumika kuzalishia watoto, wajukuu na hata vitukuu. Vitanda hivi vimeshuhudia mmiliki akiwa kijana au watu wakiwa wachumba, wakaoana, wakapata watoto ,wajukuu na kushuhudia wanavyozeeka hadi kufa. Pia mtu tangu aanze kazi hadi...
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=).
Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza.
Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo...
Heri ya jumapili kwenu...
Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda.
Katika mazungumzo yetu kabla hatujaingia kwenye mchezo akagusia kipengele Cha wao(wanawake wakanda...
Jamaaan nina shida sana hio hela godoro inch 8 kwa laki tu niende kufanya interview
Godoro Comfy 5 * 6 inch 8 limetumika miezi nane tu bei tsh 120,000
Bei imeshuka 100,000
0762165498
0778444669
Liko Mabibo karibu na soko la Engo
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Habari,
Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi,
Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K,
No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
Kitanda cha chuma Futi 4 kwa 6 pamoja na godoro lake vinauzwa .
Bei Shiling laki tatu 300,000/=
Mawasiliano: 0623 325 015
Location: Kimara Baruti, Dar es Salaam
Karibuni
Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa), mkazi wa kijiji cha Msata mkoani Pwani, kwa tuhuma za kumuiba mtoto mwenye umri wa wiki moja na kisha kuchoma godoro alilokuwa amelalia mtoto huyo ili ijulikane ameteketea kwa moto.
Tukio hilo lilitokea Juni 11...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.