Ni kweli nyie Chadema mnaunga mkono Kanisa la Meru lina miradi mingi kuzidi Serikali ya Tanzania?
Kamwe nchi hii haitaongonzwa na mlutheri mark my word
Ni kweli nyie Chadema mnaunga mkono Kanisa la Meru lina miradi mingi kuzidi Serikali ya Tanzania?
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
maendeleo ya kanisa kwa maendeleo ya chama
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
Serikali ya CCM au Serikali ya Kiislam?Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
ndio maana kuna chama kinang'ang'ania padri awe rais!!!!
TIMING, siwezi kutumia akili yangu na uwezo wangu kujadili huu upuuzi. Hata mbumbumbu ukimuuliza kwenye kila eneo analoishi ataje projects ambazo ni gvt sponsored na church/privately sponsored atakuambia kuwa miradi ya gvt ni mingi zaidi!!..........
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
mkuu,
umesahau kale kabibi kakizungu kenye miaka 60?
Dar wakiristo wengi sana hata mbunge wangu Halima Mdee ni Mkiristo John Mnyika Mkiristo lakini hata siku moja hujawasikia wanakwenda Kanisani kushukuru kwa Baba Askofu kwa kuchaguliwa kuwa wabunge...huyu kijana yeye kila siku anatoa pongezi Kanisani kwa Baba Askofu, ndio maana tunauliza Arumeru hakuna Waislam hata kidogo waliomchagua Nassari.