Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,644
- 2,093
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
Serikali ipi hii iliyofulia au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
..............duh! hayo ya chuo mitaa ya savei kaka bado tu unakumbushia!mkuu,
umesahau kale kabibi kakizungu kenye miaka 60?
Mlipotangaza Zanzibar watu wote wasile mchana kwani hakuna wakristo kule?Dar wakiristo wengi sana hata mbunge wangu Halima Mdee ni Mkiristo John Mnyika Mkiristo lakini hata siku moja hujawasikia wanakwenda Kanisani kushukuru kwa Baba Askofu kwa kuchaguliwa kuwa wabunge...huyu kijana yeye kila siku anatoa pongezi Kanisani kwa Baba Askofu, ndio maana tunauliza Arumeru hakuna Waislam hata kidogo waliomchagua Nassari.
Ni kweli nyie Chadema mnaunga mkono Kanisa la Meru lina miradi mingi kuzidi Serikali ya Tanzania?
Hao waliopo nchini waliletwa na nani? Na mmewafanya nini? Tena wengine ni 'seniors' wa NEC!
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
EAHuyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
Nimegundua kwa nini Nassari anataka lianzishwe taifa la Kaskazini majuzi kasema hii nchi ni laini kama maini...halafu huyu Askofu Akyoo nae anamdanganya huyu mtoto...hivi Arumeru hakuna Waislam?
MoU inasaidia kanisa kufanya miradi yake. Funguka.
Hata taasisi ya kiislamu ya Aghakhan ina MOU na serikali, na hawalipi kodi kabisa. Hata wao MOU yao inawasaidia wajiendeleze hata kuwa na hospitali zenye gharama kuliko hospitali binafsi zisizo na ruzuku. Funguka na uangalie upande wa pili pia.