Nassari: Kanisa la KKKT - Dayosisi ya Meru lina miradi ya maendeleo kuliko serikali

Sijakuambia unipe def ya projects, ningekuona wa maana kama ungeelezea pia aina za miradi!! Hapa tunaongelea miradi ya KKKT Arumeru vs GVT projects.

Unaelewa kila mahali ulipo kuna mradi wa serikali? Unaelewa miradi ya serikali inatumia kiasi gani cha fedha compared na hiyo ya KKKT? Unaelewa continuity or time limit ya gvt projects na hiyo ya KKKT?

Kumbuka pia TZ hii wenye projects nyingi ni wakatoliki kutokana na favour ya Nyerere but sijawahi kuwaona au sidhani kama walishawahi kufikiri kuwa wana miradi mingi kuliko serikali!

Huyu Nasar naona anapannda mbegu chafu ya udini ndani ya wananchi wa jimboni kwake, kwa kuwasifia waluther ambao wapo chini kabisa kimaendeleo compared na wakatoliki!

kumbe wewe ni mbumbumbu kuliko nilivyodhani... Arumeru ni predominantly Lutheran, kwahiyo tegemea miradi mikubwa ya FBO kuwa ya walutheri, kama ulitaka kuleta ukatoliki basi hapa umenoa, kuna maeneo yake kwa mfano Kibosho, peramiho, nk.

Kuhusu kupanda mbegu ya udini ulichoongea hapo ni zaidi ya uchafu... Nasari ametoa alter kwa serikali, kwani arumeru kuna miradi ya afya, elimu, kilimo, biashara nk ambayo ningi iko chini ya asasi zisizo za kiserikali (majority zinahusiasa na ELCT)

Anyway, kubishana na na wewe ni kupoteza muda tu

Ushauri wa bure: tafuta council plan ya wilaya, angalia mipango na utekelezaji, cheki miradi na ufadhili wake.... ukimaliza rudi kaangalie yanayotendeka kweli cs. yaliyoandikwa na pia ujaribu kuchanganua ni miradi mingapi ya hapo haiko kwenye vitabu vya wilaya, then utafaidika kwa kuelewa kauli ya nasari yaweza kuwa valid au ni chochezi kwa utawala bora kuvalidate their level of engagement kwenye miradi ya meandeleo na huduma kwa jamii'

mambaff
 
sasa alitegemea nini wakati kila mtu anajua kuwa kanisa wana run tax evasion scam na pinda alipoambiwa akasema waachwe!

kila mtu mwizi Tanzania including kanisa
 
kumbe wewe ni mbumbumbu kuliko nilivyodhani... Arumeru ni predominantly Lutheran, kwahiyo tegemea miradi mikubwa ya FBO kuwa ya walutheri, kama ulitaka kuleta ukatoliki basi hapa umenoa, kuna maeneo yake kwa mfano Kibosho, peramiho, nk.

Kuhusu kupanda mbegu ya udini ulichoongea hapo ni zaidi ya uchafu... Nasari ametoa alter kwa serikali, kwani arumeru kuna miradi ya afya, elimu, kilimo, biashara nk ambayo ningi iko chini ya asasi zisizo za kiserikali (majority zinahusiasa na ELCT)

Anyway, kubishana na na wewe ni kupoteza muda tu

Ushauri wa bure: tafuta council plan ya wilaya, angalia mipango na utekelezaji, cheki miradi na ufadhili wake.... ukimaliza rudi kaangalie yanayotendeka kweli cs. yaliyoandikwa na pia ujaribu kuchanganua ni miradi mingapi ya hapo haiko kwenye vitabu vya wilaya, then utafaidika kwa kuelewa kauli ya nasari yaweza kuwa valid au ni chochezi kwa utawala bora kuvalidate their level of engagement kwenye miradi ya meandeleo na huduma kwa jamii'

mambaff
Hamna anayebishana na wewe, hapa najaribu kuwaelimisha wewe na mbunge wako naowaona wote kuwa ni vilaza kwa kusema KKKT ina miradi mingi kuliko serikali.

Bakini na huo umbumbumbu wenu na endeleeni kuwajaza ujinga wananchi wa Arumeru. Huyo mtoto hapo jimboni kwenu akikua ataacha hizo fikra. Mwenyekiti wenu bado ana kazi kubwa ya kumkuza na kumwondelea utoto alio nao.
 
Akiongea katika mkutano mkuu wa 10 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Meru uliofanyika Ngarenanyuki, Mheshimiwa Nasari alitoa pongezi kwa kanisa hilo kwa juhudi zake za kuleta maendeleo ya jamii, akiorodhesha wingi wa miradi hiyo Joshua alisema Miradi ya Kanisa ni mingi kuliko hata ya Serikali.

Amesema anaungana na juhudi za kanisa hilo na kwa kuanzia yupo njiani kukamilisha taasisi yake ambayo kuanzia mwakani 2013 atasomesha vijana 400 shule za sekondari, ili kuinuia kiwango cha elimu Meru.

Pia amemtaka Baba Askofu Paul Akyoo na wana meru wote wamuombee kwani wabunge wapo kwenye kipindi kigumu, kuna fitina, chuki,masengenyo na uadui wa hali ya juu.

Akimpongeza Askofu Akyoo alimuhakikishia kuwa amebadilika na anaongea vitu vyenye maana na point nao wataendelea kumuombea.
Katika ibada hiyo pia alihudhuria mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Mkurugenzi AICC Ndg. Elishilia Kaaya, ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya kanisa hilo.

Pia alikuwepo Diwani wa kata ya Maji ya Chai CCM na Kaimu katibu mkuu wa kanisa hilo Ndg. Loti Nko.

Mwisho Mbunge huyo ametakiwa kutafuta mchumba na kuoa, jambo ambalo aliambiwa na Asf akyoo, naye alisema ameishaanza mchakato huo aombewe tu.

Dogo toka nje ya box na epuka "ujinga.com"
 
Sijui hapa kosa ni lipi? Kiukweli eneo la Meru KKKT ina miradi mingi sana ya maendeleo na mingine ilijengwa kuanzia kipindi cha mkolono.. Mnakumbuka ile vita iliyotokea Meru mwanzoni mwa miaka ya 90? Chanzo ilikuwa ni kutokubali kuwa chini ya dayosisi ya kaskazini sababu walitaka institution zao walizochangia ziwasaidie wao.. Hebu tujaribu kuorozesha hiyo miradi na ni lini ilianzishwa. Tuache unafki kwa hili Nassary yuko sahihi
 
Asilimia kubwa ya wakazi wa Meru ni walutheri, wakifuaitwa na madhehebu ya kipentecoste, wakatoliki then madhehebu mengine ka SDA, ISLAM, JEHOVAH WITNESS
 
Hamna anayebishana na wewe, hapa najaribu kuwaelimisha wewe na mbunge wako naowaona wote kuwa ni vilaza kwa kusema KKKT ina miradi mingi kuliko serikali.

Bakini na huo umbumbumbu wenu na endeleeni kuwajaza ujinga wananchi wa Arumeru. Huyo mtoto hapo jimboni kwenu akikua ataacha hizo fikra. Mwenyekiti wenu bado ana kazi kubwa ya kumkuza na kumwondelea utoto alio nao.
mkuu umeshanisajili cdma sio??

thanks
 
Asilimia kubwa ya wakazi wa Meru ni walutheri, wakifuaitwa na madhehebu ya kipentecoste, wakatoliki then madhehebu mengine ka SDA, ISLAM, JEHOVAH WITNESS

hako karejao ni kapuuzi tu tena kakupuuzwa, hakana insight yoyote zaidi ya kubwabwaja
 
hako karejao ni kapuuzi tu tena kakupuuzwa, hakana insight yoyote zaidi ya kubwabwaja
mkuu umeshanisajili cdma sio??

thanks

TIMING, siwezi kutumia akili yangu na uwezo wangu kujadili huu upuuzi. Hata mbumbumbu ukimuuliza kwenye kila eneo analoishi ataje projects ambazo ni gvt sponsored na church/privately sponsored atakuambia kuwa miradi ya gvt ni mingi zaidi!!
 
Last edited by a moderator:
Hawa akina fulani thread kama hizi wanazipenda sana. Ila kama za kuhusu utetezi wa Tundu Lisu kuhusiana uteuzi wa majaji huwaoni. Huku mwaweza kesha nao hata siku 3 na wasichoke.
 
ni kweli nyie chadema mnaunga mkono kanisa la meru lina miradi mingi kuzidi serikali ya tanzania?
unakosea ritz. Wamesema kanisa lina miradi mingi kuliko serikali ya ccm ktk jimbo la arumeru mashariki. No doubt about it.
 
Kwa hiyo serikali imejaa mabongolala wanaoshindwa kuendesha miradi na kuachia kanisa?

Unafiki mbaya sana....

Makanisa huwa wanachangisha waumini wao kila kunapotokea miradi, na part ya sadaka pia hutumika acha kupotosha umma


Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.
 
Jamani mimi niko huku kwa hii dayosisi ya meru ila mbona ndo dayosisi iliyochoka tanzania??miradi mingi imekufa,huyu askofu anafuja pesa za dayosisi kama nini!!!Natamani kujitoa kwenye hii dayosisi
 
Huyu dogo kina Mbowe wasipokuwa makini ndio atakayeizamisha Chadema sasa sijui kama anafahamu hiyo miradi ya Kanisa fedha nyingi zinatoka serikalini.

Kuna 'mapapa' na 'nyangumi' ya siasa za Tanzania ndani ya Chadema na hawana hata ubavu wa kukitia dharuba chama...iwe Nassari ndo wa kuzamisha chama? Mbwe mbwe anazo Zitto na mwenzie Shibuda..walikuwepo kina Kafulila.. Poleni tu, dua zenu za 'kuku'...'mwewe' anaendelea tu kutafuna vifaranga vyenu kwa M4C!
 
Back
Top Bottom