Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Mkuu hapa ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu. mia
Asante...
Forza Myika.
Mkuu hapa ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu. mia
Nape akiwa mbunge wa ubungo kupitia CCM natembea uchi kutoka ubungo hadi posta tena mchana kweupe!
Hata akili yako inasadifu jina lako maana wewe ni kigeugeu kageuka..hilo jembe ulilotaja linalima sehemu gani ya mwili wako?[COLOR=#ff0000 said:Kageuka[/COLOR];4476806]Una masihara wewe yaani mke wa Mbowe ndo unataka kumshindanisha na Jembe la CCM nape? Masihara menine bhana!!! Nikutafutiana ban tu
huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.
huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.....
Una masihara wewe yaani mke wa Mbowe ndo unataka kumshindanisha na Jembe la CCM nape? Masihara menine bhana!!! Nikutafutiana ban tu
Una masihara wewe yaani mke wa Mbowe ndo unataka kumshindanisha na Jembe la CCM nape? Masihara menine bhana!!! Nikutafutiana ban tu