Nape Jembe
Nape ukimvua nguo ya CCM ukamvalisha ya CCJ au Chadema ukumpa jimbo agombee atapoteza kwa sababu hakubaliki kihivyo kama yeye anavyohisi. kinachombeba Nape ni CCM nje ya hapo hana chake.
Mnyika anajiuza hategemei chama kupata jimbo. Siku Nape akigombea halafu wakazuia wizi wa kura hakika Nape atashindwa.