Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Wacha CCM wajidanganye wamlete Nape.....akamuulize Mtatiro alipata kura ngapi kwanza.Hoja si kijana au kuwa Msemaji wa chama.
Kwanini umemzalilisha Mnyika kiasi hiki. unamfananisha Genius na tahahira?
Hawa wote ni wasemaji wa vyama vyao na pia Nape alijaribu kugombea Ubungo. Je, uchaguzi ungefanyika leo nani ungempa kura yako?
akili ya Nape bado ni changa sana na ndogo sana
Ni kweli mkiacha masihara Nape ni jembe,na ameisaidia sana CCM especially kwenye kugawa kanga,vitenge,kofia na vyakula vya wenye njaa wakati wa uchaguzi wa igunga,sasa mkae kimya japo kwa kumsifia kwa hilo
mkuu usimfananishe huyo nepi na kipanya masoud masudi kichwa wewe uoni misumari anayopiga kupitia katuni?akili ya Nape bado ni changa sana na ndogo sana kuongoza watu hata angegombe na masuod Kipanya ...masoud angeshinda tena kwa kishindo
Nape does not walk what he talks. Watu wa aina hii, huwa kama comedians, mara nyingi si viongozi wazuri.Mimi si mshabiki wa chama cha siasa, ila huwa ni mshabiki wa wanasiasa. Kati ya watu ninaowashabikia ni walikuwa hawa wote wawili, hata wakati ule wote wanagombea Ubunge hapo Ubungo, nilikuwa nasikitika sana maana niliona majembe yote mawili yako pamoja, na kwa vyovyote mmoja angekosa, kitu ambacho kweli kilitokea. Ushujaa aliokuwa nao Nape sijui kama ulikuwa wa kweli au alikuwa hivyo baada ya kukosa madaraka ndani ya chama. Maana nakumbuka wakati huo alimlipua Lowasa juu ya ujenzi wa jengo la Umoja wa vijana wa chama chake. Baada ya kumweka sehemu amabayo anasaini malipo ya posho mbali mbali, amejisahau na hata ushabiki wangu kwake umeisha. Mnyika yuko juu sana kwa huyu Nape. Nahisi hata maisha yake nje ya hiyo nafasi aliyonayo ni magumu sana. Awe kama wenzake walioko ndani ya chama chake ambao wanaangalia maisha yao ya baadae.