Khaaa unaota?huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.
sasa wewe kama nape alishidwa na Hawa kura za maoni ubungo kwanini usiseme hawa ndio jembe? Labda ulete POLL ya NAPE VS ILE CHEMBA ya iramba.Una masihara wewe yaani mke wa Mbowe ndo unataka kumshindanisha na Jembe la CCM nape? Masihara menine bhana!!! Nikutafutiana ban tu
Hahahaa, Nyamizi hata huumi maneno kidogo, KHAAA!!!!!
Hiyo wanaita ngumi ya usoni - Nakubaliana na wewe kuwa Mnyika ni Present and Future wakati akina Nape ni VINTAGE.
akili ya Nape bado ni changa sana na ndogo sana kuongoza watu hata angegombe na masuod Kipanya ...masoud angeshinda tena kwa kishindo
Kwani kipanya mnyonge sana? ha ha ha !!!!
usihukumu usije......?Nape ni jina la Baba ndilo lililomvuta pale alipo, lakini hana hata sifa moja ya kuwa kiongozi. Maneno ya Nape yanapingana na level ya elimu yake. Hao vijana (Nape na Mwigulu) wanaidhalilisha elimu ya Tanzania. Kwa maana hiyo, nape hawezi shinda tena nafasi yeyote ya kuchaguliwa ndani ya ccm kama Mzee Makamba alivyosema " Nape amelaaniwa duniani na mbinguni"
Nape Jembe
Hawa wote ni wasemaji wa vyama vyao na pia Nape alijaribu kugombea Ubungo. Je, uchaguzi ungefanyika leo nani ungempa kura yako?
Una masihara wewe yaani mke wa Mbowe ndo unataka kumshindanisha na Jembe la CCM nape? Masihara menine bhana!!! Nikutafutiana ban tu
akili ya Nape bado ni changa sana na ndogo sana kuongoza watu hata angegombe na masuod Kipanya ...masoud angeshinda tena kwa kishindo