Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Wadau nawasabahi.
Nimekuwa nawafuatilia Wabunge wengi kuona ni Maendeleo gani wamewapelekea Wapiga kura wao katika Majimbo yao. Ukweli sijaona Maendeleo yote ktk Majimbo yote yaliyoletwa na Mbunge bali Maendeleo yanapelekwa na SERIKALI kupitia Wizara zake.
Waziri au RAIS anapotembelea JIMBO Mbunge nae hujumuika na Wananchi na kuomba Maendeleo kwa huyo Waziri au Rais .Mchango pekee wa Mbunge ktk kuleta maendeleo ni kupiga kelele zake akiwa Bungeni na bado anaweza kupiga Kelele kwa nguvu zake zote na Maendeleo yasipelekwe.
Mfano mdogo tu
Je Maendeleo gani Wabunge hawa wameyapeleka ktk Majimbo yao?
1.Jimbo la Kawe
2.Jimbo la Ubungo
3.Jimbo la Kigamboni
4.Jimbo la Sumbawanga Mjini
5...
6....
Ni Ukweli Usiopingika Mbunge Kama Mbunge hawezi kuleta MAENDELEO ktk Jimbo.
Nimekuwa nawafuatilia Wabunge wengi kuona ni Maendeleo gani wamewapelekea Wapiga kura wao katika Majimbo yao. Ukweli sijaona Maendeleo yote ktk Majimbo yote yaliyoletwa na Mbunge bali Maendeleo yanapelekwa na SERIKALI kupitia Wizara zake.
Waziri au RAIS anapotembelea JIMBO Mbunge nae hujumuika na Wananchi na kuomba Maendeleo kwa huyo Waziri au Rais .Mchango pekee wa Mbunge ktk kuleta maendeleo ni kupiga kelele zake akiwa Bungeni na bado anaweza kupiga Kelele kwa nguvu zake zote na Maendeleo yasipelekwe.
Mfano mdogo tu
Je Maendeleo gani Wabunge hawa wameyapeleka ktk Majimbo yao?
1.Jimbo la Kawe
2.Jimbo la Ubungo
3.Jimbo la Kigamboni
4.Jimbo la Sumbawanga Mjini
5...
6....
Ni Ukweli Usiopingika Mbunge Kama Mbunge hawezi kuleta MAENDELEO ktk Jimbo.