Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Rostam naye kama si mnafiki kwa kusema ameachana na siasa uchwara tutaona reaction yake
Hapo ndipo napo pasubiri mie kuwaona ndugu zangu wananchi wa Igunga je Ni mazuzu au Maana hamuwezi ona Mbunge wenu wa Igunga katika kashifa na huku nyie mlikuwa mnamwamini yuko safi na imeonekana ni mchafu na nyie hamtaki kukusikia hilo na akaja kujiuzuru mbele yenu na mkakili hamto kichagua tena CCM sasa hapo ndipo tutakapo kuja kujua je ni kweli yule mbunge wenu aliye sema hataki tena kujihusisha na Gutter Politics means si ha sa za maji taka iweje leo hii aje kuwaumiza kidonda kuwa hato rudi tena kwenye ulingo wa si ha sa iweje leo aje tena si uchonganishi huo kati ya uongozi wa Juu ya CCM na watu wa Igunga??
My Take;
Kurudi kwa Rostam kwenye Gutter politics kama alivyosema wakati anajivua uongozi na ubunge wa Igunga ni Matusi makubwa na dharau inaashirilia kuwa wana Igunga wote walikuwa ni mafisadi.
Na kama walichukizwa sana na Uongozi wa juu wa CCM katika kufanya mbunge wao RA kujivua nyadhifa zote basi wana Igunga wanatakiwa kuidhihilishia CCM kuwa wao ni watu komavu katika siasa na wachague kiongozi wamtakao wao ni sio CCM iwachagulie kiongozi wamtakao wao.