Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Ni kweli Tanzania siasa bado haikakuwa! Rostam hajakosea..tuna vyama vingi especially vya upinzani mbavyo havina mbele wala nyuma!kama ndivyo kwann Rostam mwenyewe alidai anaachanana siasa uchwara zinazoendeshwa tz. Kwan kuliliwa ndio<br />
maendeleo kumbuka last year Jk alipo watusi waalim, ilikuwaje. Usiende kwa ukada bali kwa logic
Hawana sera za kumshawishi mtanzania wa kawaida kuwakubali..kazi yao ni kulalama tu na kuandamana!