Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Rostam naye kama si mnafiki kwa kusema ameachana na siasa uchwara tutaona reaction yake
Ataachaje siasa uchwara ambazo zimemtajirisha?
Rostam naye kama si mnafiki kwa kusema ameachana na siasa uchwara tutaona reaction yake
<br />Rostam hawezi kuepuka kumpigia debe mgombea wa chama chake, amelazimishwa atake, asitake.<br />
<br />
Kamati kuu ya ccm ilimwambia kama atakataa kumkampenia mgombea wa ccm, itaanika mambo yake hadharani. Kwahiyo mtakavyomuona Rostam kapanda jukwaani Igunga ni kwa sababu ya kuiridhisha ccm.<br />
<br />
Lakini jamaa hana hamu na CC ya chama chake na hakutaka kabisa kushiriki ila hana jinsi, isipokuwa kuitegemea ccm ili madhambi yake yawekwe pending.
Hapo sioni Unafiki wowote!
Rostam aliamua kuwa Accoutable (ni watanzania wachache sana wanaoweza kuachia madaraka-Oly Rostam & Lowasa hav done that)
Alifanya mambo mengi sana Igunga na kila mwana Igunga anayakubali- ndio maana tulishuhudia vilio siku ile alipokuwa anatangaza kung'atuka.
Kitendo cha Nape kumsifia kwa aliyoyafanya ni sahihi kabisa.
Ulitaka amponde kwa aliyowafanyia watu wa Igunga ambayo yanaonekana wazi wazi?
Wewe ulianzaisha hii thread ndio mnafiki mkubwa na hujui unalozungumza.
Rostam bado anahitaji kupata pesa zaidi na zaidi, sasa akiwaudhi CCM atazipataje?Rostam naye kama si mnafiki kwa kusema ameachana na siasa uchwara tutaona reaction yake
Kaka kauli yako nzito sana.Mwanaume ni lazima uwe na uwezo wa kusimamia kauli zako. Ajenda kubwa iliyo mbele yetu watanzania ni UFISADI na RA ni kinaa wa huo ufisadi na Nape alijitanabaisha kuwa ni mpinga ufisadi, Sasa iweje lao hii hata kabal ya hatua za kisheria nkuchukkuliwa dhidi ya kinara huyu wa ufisadi akengeuke na kuanza kumsifia? Huu ni ushahidi tosha kuwa Nape ni mtu wa kutumiwa ndio maana hata ufisadi uliokuwa ukifanyika ndani ya UVCCM aliufichua katika kinyanganyiro cha kugombea Uenyeikti wa Jumuia hiyo na sio kama mtu anayechuklia ufisadi.
you can't be both!You have to give the devil his due. Rostam alikuwa fisadi upande mmoja lakini upande mwingine ni mwanamaendeleo na mchangiaji mkubwa sana. Amesidia miradi mingi sana ndani ya Igunga na hata nje yake. Kwahiyo sidhani kama kuna tatizo tukimpa sifa zake ingawa ni kweli ameshiriki kwenye ufisadi mkubwa sana.
Kweli mwanasiasa hana adui wala rafiki.When you are in Roma,
Do as a Roman do!!