Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
MMmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh haya yangu macho ila jamani sio kwamba jamaa anafanya booking ya kiti akija CDM? gnt
Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba...................
hahahaaaaa ngoja nikakoj.o,e nilale mie, ukiwaza sana utaumiza kichwa bureWaarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba...................
We Tume ya katiba wewe...........umeyaona ya Nape na Slaa unataka tuyaendeleze au?Habari dada eliza, nitafurahi kukujua zaidi!
We Tume ya katiba wewe...........umeyaona ya Nape na Slaa unataka tuyaendeleze au?
We Tume ya katiba wewe...........umeyaona ya Nape na Slaa unataka tuyaendeleze au?
Nadhani ushanifahamu maana i'm a verified user na hiyo ndio picture yangu..........kuna ziada ndugu yangu?Hapana Elizabeth Dominic nafikili hii picha uliyoitumia ndio imenifanya nitake kukufahamu zaidi, Nafikili sio kosa, ni muhimu member kufahamiana!
Kwani kuna ubaya gani?
Nadhani ushanifahamu maana i'm a verified user na hiyo ndio picture yangu..........kuna ziada ndugu yangu?
Pelekeni hizi swaga Love connect.Loh! Umekuwa mkali sana!
Loh! Umekuwa mkali sana!
Nimekumbuka enzi za Mwalimu ambapo wagombea wa ubunge walipanda gari moja na wote walihutubia pamoja. Unafiki huu wa Nape Tusingeuona inaelekea Nape anawasema viongozi wa CDM vibaya huku anawapenda coz wako mbali nae! Mh Mbowe utafikiri anamshangaa Nape na kusema si ndo huyu katutukana Jumamosi CHADEMA SQUARE?