Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata courage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then, kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata courage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then, kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui.