Naombeni msaada wapendwa!!!!!

USHAURI KWA HUYO MAMA......!

''...if you are going through the HELL....just keep going,there is always an exit door far far ahead....''

ninachokijua mimi ni kwamba zinaa anayoifanya huyo baba ni matokeo ya kushindwa kumchagua a right person ''kama hafanyi kwa tamaa za kimwili''

lakini pia.....(POTELEA MBALI MI NAOMBA NIWE MKWELI TU)....matokeo ya zinaa anayoifanya huyo baba ni MAKUBWA SANA(hapa tunaweka imani chini tunazungumzia DEATH AND LIFE BUSSINESS)

acheni masihara ninyi watu.......

Now you are talking Teamo............. point ya kwanza na ya tatu nakuunga mpaka kichwa but hapo kwenye ya pili kuwa matokeo ya anachokifanya mbaba ni kushindwa kuchagua the right partner toka mwanzo pananipa utata............ How many choices alikuwa nazo enzi hizo?? Unless tuthibitishiwe kuwa huyu mkewe wa ndoa ndie aliyemwingiza yeye baba kwenye ulimwengu wa mapenzi akachanganyikiwa.
 
Hii heading ya thread na thread yenyewe vina-CONTRADICT

Nani anayeomba kusaidiwa hapa LD au?

Wewe!!! Hebu mshauri huyu mother house basi,
Manake haya mambo ya kingo hayaaaaaa!!
 
USHAURI KWA HUYO MAMA......!

''...if you are going through the HELL....just keep going,there is always an exit door far far ahead....''

ninachokijua mimi ni kwamba zinaa anayoifanya huyo baba ni matokeo ya kushindwa kumchagua a right person ''kama hafanyi kwa tamaa za kimwili''

lakini pia.....(POTELEA MBALI MI NAOMBA NIWE MKWELI TU)....matokeo ya zinaa anayoifanya huyo baba ni MAKUBWA SANA(hapa tunaweka imani chini tunazungumzia DEATH AND LIFE BUSSINESS)

acheni masihara ninyi watu.......
hapo kwenye RED naona tunakwenda sawa....hatuwezi kufika kwenye bussiness oppotunity kabla ya hiyo RED..!!
 
Babu ni kweli hapa thread itachakachuka..hebu nisaidie kuweka link ya ile thread ya Are we fighting the lost Battle kama sikosei hili la nature lilizungumziwa sana humu.
Mjukuu search engine ya JF naona imeshindwa kunipatia link ila nikfanikiwa nitaiweka hapa!!
 
Now you are talking Teamo............. point ya kwanza na ya tatu nakuunga mpaka kichwa but hapo kwenye ya pili kuwa matokeo ya anachokifanya mbaba ni kushindwa kuchagua the right partner toka mwanzo pananipa utata............ How many choices alikuwa nazo enzi hizo?? Unless tuthibitishiwe kuwa huyu mkewe wa ndoa ndie aliyemwingiza yeye baba kwenye ulimwengu wa mapenzi akachanganyikiwa.

UNAJUA MWANAJAMIIONE.......!
kwenye hoja ya pili hapo...NI UKWELI UNAOHUZUNISHA!very unfortunately naweza kuliita kama JANGA LA KITAIFA!na tatizo hili hasa hasa limejengwa na hizi tunazoziita LOVE MARRIAGES!kitu kibaya kibaya kibaya kabisa kwa maisha ya mwanadamu ni ile ''a fact kwamba over 70% of love marriages NEVER WORK..''

zamani kidogo:
-mke unatafutiwa na wazazi kwa kuangalia tabia na historia za koo/families
-maisha yalikuwa na amani sana
kimsingi ndio ndoa za wazazi wetu ambao ndo wanaishia ishia

kizazi kipya sasa:
-unajitafutia mupenzi WEWE MWENYEWE kwa vigezo vya LOVE...(love my a-s-s!)
-ni ndoa zenye break-ups nyingi sana after two yrs of marriages
-ni ndoa zenye mateso na unyanyasaji mkubwa kwa wanawake
-ni ndoa zilizosheheni CHEATING AT ITS MAXIMUM LEVEL

hahahaha!
eti love....LOVE?....
LOVE MY A-S-S!lol
love my bad
 
UNAJUA MWANAJAMIIONE.......!
kwenye hoja ya pili hapo...NI UKWELI UNAOHUZUNISHA!very unfortunately naweza kuliita kama JANGA LA KITAIFA!na tatizo hili hasa hasa limejengwa na hizi tunazoziita LOVE MARRIAGES!kitu kibaya kibaya kibaya kabisa kwa maisha ya mwanadamu ni ile ''a fact kwamba over 70% of love marriages NEVER WORK..''

zamani kidogo:
-mke unatafutiwa na wazazi kwa kuangalia tabia na historia za koo/families
-maisha yalikuwa na amani sana
kimsingi ndio ndoa za wazazi wetu ambao ndo wanaishia ishia

kizazi kipya sasa:
-unajitafutia mupenzi WEWE MWENYEWE kwa vigezo vya LOVE...(love my a-s-s!)
-ni ndoa zenye break-ups nyingi sana after two yrs of marriages
-ni ndoa zenye mateso na unyanyasaji mkubwa kwa wanawake
-ni ndoa zilizosheheni CHEATING AT ITS MAXIMUM LEVEL

hahahaha!
eti love....LOVE?....
LOVE MY A-S-S!lol
love my bad

Oyaa LD anasema hii ndoa ni ya wakongwe...ndo wanaishia ishia hivyo...au zamani unamaanisha mwanzo wa dahali
 
UNAJUA MWANAJAMIIONE.......!
kwenye hoja ya pili hapo...NI UKWELI UNAOHUZUNISHA!very unfortunately naweza kuliita kama JANGA LA KITAIFA!na tatizo hili hasa hasa limejengwa na hizi tunazoziita LOVE MARRIAGES!kitu kibaya kibaya kibaya kabisa kwa maisha ya mwanadamu ni ile ''a fact kwamba over 70% of love marriages NEVER WORK..''

zamani kidogo:
-mke unatafutiwa na wazazi kwa kuangalia tabia na historia za koo/families
-maisha yalikuwa na amani sana
kimsingi ndio ndoa za wazazi wetu ambao ndo wanaishia ishia

kizazi kipya sasa:
-unajitafutia mupenzi WEWE MWENYEWE kwa vigezo vya LOVE...(love my a-s-s!)
-ni ndoa zenye break-ups nyingi sana after two yrs of marriages
-ni ndoa zenye mateso na unyanyasaji mkubwa kwa wanawake
-ni ndoa zilizosheheni CHEATING AT ITS MAXIMUM LEVEL

hahahaha!
eti love....LOVE?....
LOVE MY A-S-S!lol
love my bad

Kwa mantiki hiyo Teamo nimekuelewa but remember LD amesema hawa ni wale wazee yaani ndoa yao ina more than 50 years je hawaangukii kwenye zile ndoa za zamani?? .................sijaelewa pale uliposema kuwa alifail kumpata the right person (kama hafanyi kwa tamaa za kimwili) so tunaruhusiwa kujivinjari na wale tunaohisi ni right kwetu (not kwa tamaa za kimwili) ?
 
Wewe!!! Hebu mshauri huyu mother house basi,
Manake haya mambo ya kingo hayaaaaaa!!

Unapooa au kuolewa, siku ya harusi zingatia hii hapa chini

Who knows what tomorrow has to offer??



progress.gif
 
Kwa mantiki hiyo Teamo nimekuelewa but remember LD amesema hawa ni wale wazee yaani ndoa yao ina more than 50 years je hawaangukii kwenye zile ndoa za zamani?? .................sijaelewa pale uliposema kuwa alifail kumpata the right person (kama hafanyi kwa tamaa za kimwili) so tunaruhusiwa kujivinjari na wale tunaohisi ni right kwetu (not kwa tamaa za kimwili) ?

Tamaa za mwili + uadilifu wa moyo + kingo + open merieji= mwanadamu timilifu
 
UNAJUA MWANAJAMIIONE.......!
kwenye hoja ya pili hapo...NI UKWELI UNAOHUZUNISHA!very unfortunately naweza kuliita kama JANGA LA KITAIFA!na tatizo hili hasa hasa limejengwa na hizi tunazoziita LOVE MARRIAGES!kitu kibaya kibaya kibaya kabisa kwa maisha ya mwanadamu ni ile ''a fact kwamba over 70% of love marriages NEVER WORK..''

zamani kidogo:
-mke unatafutiwa na wazazi kwa kuangalia tabia na historia za koo/families
-maisha yalikuwa na amani sana
kimsingi ndio ndoa za wazazi wetu ambao ndo wanaishia ishia

kizazi kipya sasa:
-unajitafutia mupenzi WEWE MWENYEWE kwa vigezo vya LOVE...(love my a-s-s!)
-ni ndoa zenye break-ups nyingi sana after two yrs of marriages
-ni ndoa zenye mateso na unyanyasaji mkubwa kwa wanawake
-ni ndoa zilizosheheni CHEATING AT ITS MAXIMUM LEVEL

hahahaha!
eti love....LOVE?....
LOVE MY A-S-S!lol
love my bad

Love marriage ndo kitu gani?
 
Afu tamaa za kimwili inajumuisha hisia?? Maana kwa maelezo yako ni kuwa ndoa za zamani hazikuhusisha tamaa za kimwili na hisia (masuala ya I lavu yuu and I fili yuu) hawakuhusishwa sasa tukiashumu kuwa Baba huyu mwenye ndoa ya miaka 50 alibahatika kupata zile ndoa za zamani ambazo kwa mtazamo wako ndizo zidumuzo....inakuwaje tena unasema hakupata the right partner?.......mi umenchanganya zaidi but I still want to learn from you Teamo
 
Hata mimi nimejikuta namlaumu huyu baba zaidi MJ1, halafu fikuiria na uzee huu,
mtu anajikatia tamaa, mpaka house girl anamdharau.
Anaishia kuona bora akae peke yake tu bila house girl.
Na mikazi ya nyumbani inavyochosha.

Kwanza nasema Pole kwa huyu mama yetu; maana kweli enzi hizo wanawake wengi waliolewa bila hata ya kupenda; maadam wazazi wampenda, tena mfanyakazi kwa nini wewe binti ukatae!

Sasa nichangie kidogo kuhusu huyu mama; Kwa jinsi unavyoandika LD huyu mama amekata tamaa; na mimi nataka kusema hivi. ni yeye mwenyewe amechangia kufika hali hiyo mpaka anadharauliwa na housegirl! Kwanini ninasema hivi, ukiwa na negative attitude about yourself, utasababisha wengine pia wakuonee! Yaani hapa kinachotakiwa kwa huyu mama yetu apate mtu wa kumshauri kwamba, she can do sth about her home! She can change the situation if she changes her attitude!. Please LD kama unaweza kutoa ushauri, utamsaidia huyu mama! Ninachokiona hapa, ni kwamba amefikia mahali anajiona hawezi chochote! Na kwasababu yuko huyo mpango wa nje na anafanya vizuri, sasa mama huyu anajiona hafai!
Kwa wale ambao wanatafuta kuoa/kuolewa; ni vizuri sana kama utaoa/utaolewa na mtu ambaye mtaongea lugha moja, nikiwa na maana hamtofautiani sana kwenye elimu. Sasa jamani wewe una PhD, unaenda kuoa std 7 au form 4; ukimwoa huyo wa darasa la saba au form 4, basi msaidie angalau asome, ili mkipanga mipango yenu naye anakuwa na makofidensi!
 
Oyaa LD anasema hii ndoa ni ya wakongwe...ndo wanaishia ishia hivyo...au zamani unamaanisha mwanzo wa dahali
well......
Kwa mantiki hiyo Teamo nimekuelewa but remember LD amesema hawa ni wale wazee yaani ndoa yao ina more than 50 years je hawaangukii kwenye zile ndoa za zamani?? .................sijaelewa pale uliposema kuwa alifail kumpata the right person (kama hafanyi kwa tamaa za kimwili) so tunaruhusiwa kujivinjari na wale tunaohisi ni right kwetu (not kwa tamaa za kimwili) ?
well again....


ni hivi hapo juu:
mazingira ya hiyo ndoa tajwa hapo juu ni dhahiri kabisa ''IT'S A LOVE MARRIAGE''.....

fifty yrs kitu gani wandugu?.....fifty years back wakoloni walishakuwa ndani ya nchi wameanza kueneza UPUPU WAO wa love marriage....!

ukiangalia sana kati kati ya mistari that is LOVE MARRIAGE....!a purely LOVE MARRIAGE

GADEMU ZAO WAKOLONI
 
LD hujambo?
Huyu mme hakukosea kumwoa mkewe...japo pia hakukosea kuwa na mpango wa nje (najua ni dhambi).....
Nadhani wakati wanaona walikua kompatibo zaidi ya sasa....
Alichokosea huyu mme ni kumwacha mkewe nyuma katika masuala ya kimaisha, hadi akakosa kujiamini (kwa kiwango cha kuogopa hausigeli)...
Hatari kubwa iliyo mbele ya hii familia ni uhusishaji wa nguvu za giza...........
labda ntarudi.....
 
LD hujambo?
Huyu mme hakukosea kumwoa mkewe...japo pia hakukosea kuwa na mpango wa nje (najua ni dhambi).....
Nadhani wakati wanaona walikua kompatibo zaidi ya sasa....
Alichokosea huyu mme ni kumwacha mkewe nyuma katika masuala ya kimaisha, hadi akakosa kujiamini (kwa kiwango cha kuogopa hausigeli)...
Hatari kubwa iliyo mbele ya hii familia ni uhusishaji wa nguvu za giza...........
labda ntarudi.....


Sikubaliani na wewe kabisa. Kakosea sana. Acheni kushabikia uzinzi bana Mtakatibu vipi bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom