Kazini na mwanamke asiye mke wake "Amri ya ngapi tena vile "USIZINI" then "USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO"
Kwanini hawajasema Mwanaume??? Hilo ndo kosa umenisoma.
Mie mzima nammiss BE wangu tu sijui yuko wapi
Hapo unazungumzia dhambi DA (kama BE hajui wajibu wake mi nitamsaidia)......hapa tunazungumzia kosa.....usiende kwenye maandiko (na mimi nikitumia maandiko ya nabii tito tutapoteza mwelekeo wa mada)