Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...-Kama ilivyo kawaida mother house hana furaha na kile anachokifanya mume wake, kumletea hadi mtoto kwenye ndoa. Hana ujasiri kwa mume wake, ni mnyonge, hana maamuzi yake binafsi, hana uhuru wa kutosha. Yani ni tabu tupu. Anaishi tu kwa sababu kuna kuishi lakini hana furaha ya ndoa kabisa. Na kwa sababu ya hayo anazidi kuwa kituko kabisa, hata house girl anaweza akamfokea!!
...
...hii lower self esteem inatokana/inasababishwa na nini?
Nini kinachompelekea huyu mama kupoteza uwezo huo wa kujiamini?
Upungufu wa elimu na uwezo wa kifedha sio kigezo cha mtu kushindwa kujitambua maeneo mengine ambayo yanampa thamani yake katika jamii.
Aisimamie kwanza Imani yake kwa mw'mungu wake. Binaadamu anaweza poteza mali, watoto na jamaa zake, lakini Imani yake ikiwa thabiti, hakuna wa kumteteresha.