Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
Babu nashukuru sana kwa ushauri wako , leo tena maekuja na uamuzi mwingine kuwa hatatoa talaka ila tutatengana na yeye takuwa na chumba chake na baadae ataondoka ila pale nyumbani ataacha chumba chake ambapo atakuja wakati wowowte atakapotaka.
Vile vile alisisistiza nikampime mtoto na namshukuru mwenyezi mungu nilikuwa naogopa sana kwenda kumpima mtoto lakini nimeenda kumpima na majibu ni Negative Nilishukuru sana kwa hilo.
Sasa jana anasema amemwambia mtoto kuwa yeye ataondoka pale nyumbani nasikia mtoto alilia sana.
Nakuombea kwa Mungu wa kuwa........amani yake ipitayo akili zoooote ikuhifadhi, Mungu akuangazie nuru ya uso wake na kukuongoza katika kipindi hiki kigumu unachopitia. Mungu mwenyewe afanyike faraja na tumaini lako binafsi na familia yako pia (utakapo waambia). Nakupenda dia.........take heart.