Naomba ushauri wenu wana JF

Babu nashukuru sana kwa ushauri wako , leo tena maekuja na uamuzi mwingine kuwa hatatoa talaka ila tutatengana na yeye takuwa na chumba chake na baadae ataondoka ila pale nyumbani ataacha chumba chake ambapo atakuja wakati wowowte atakapotaka.

Vile vile alisisistiza nikampime mtoto na namshukuru mwenyezi mungu nilikuwa naogopa sana kwenda kumpima mtoto lakini nimeenda kumpima na majibu ni Negative Nilishukuru sana kwa hilo.

Sasa jana anasema amemwambia mtoto kuwa yeye ataondoka pale nyumbani nasikia mtoto alilia sana.

Nakuombea kwa Mungu wa kuwa........amani yake ipitayo akili zoooote ikuhifadhi, Mungu akuangazie nuru ya uso wake na kukuongoza katika kipindi hiki kigumu unachopitia. Mungu mwenyewe afanyike faraja na tumaini lako binafsi na familia yako pia (utakapo waambia). Nakupenda dia.........take heart.
 
Babu nashukuru sana kwa ushauri wako , leo tena maekuja na uamuzi mwingine kuwa hatatoa talaka ila tutatengana na yeye takuwa na chumba chake na baadae ataondoka ila pale nyumbani ataacha chumba chake ambapo atakuja wakati wowowte atakapotaka.

Vile vile alisisistiza nikampime mtoto na namshukuru mwenyezi mungu nilikuwa naogopa sana kwenda kumpima mtoto lakini nimeenda kumpima na majibu ni Negative Nilishukuru sana kwa hilo.

Sasa jana anasema amemwambia mtoto kuwa yeye ataondoka pale nyumbani nasikia mtoto alilia sana.

Mpendwa baraka_41,

Bila kung'ata meno wala ulimi babu amegundua hili:

Mme wako amechanganyikiwa! Yuko confused vibaya. Amepima akakuta ameathirika, na amejua kuwa ni yeye ndie aliyeuleta kwako huu ugonjwa. Vinginevyo angeshakutimua siku nyingi sana.... Sijajua ameenda kupima wapi, ila naamini hakupewa counselling ya nguvu.

Ukweli ni kuwa amechanganyikiwa kwa kuwa HAJAIKUBALI HALI HALISI. HAJAYAKUBALI MATOKEO. Bado ana ile mentality kuwa Ukiwa na maambukizi ya VVU ndo umeshalichungulia kaburi..... namwonea huruma sana. Anahitaji counselling ili ayakubali matokeo na kuendelea na maisha.

Kwa muda huu mpendwa chukua tahadhari, watu wa namna hii hawachelewi kuchukua maamuzi ya kijinga sana.

Babu anazidi kukuombea kwa Mungu, akupe nguvu ya kuukabili huu mtihani mgumu. Naamini utashinda.

Mungu na aendelee kukubariki na kukulinda.

Babu anarudi kitandani.
 
Mpendwa baraka_41,

Bila kung'ata meno wala ulimi babu amegundua hili:

Mme wako amechanganyikiwa! Yuko confused vibaya. Amepima akakuta ameathirika, na amejua kuwa ni yeye ndie aliyeuleta kwako huu ugonjwa. Vinginevyo angeshakutimua siku nyingi sana.... Sijajua ameenda kupima wapi, ila naamini hakupewa counselling ya nguvu.

Ukweli ni kuwa amechanganyikiwa kwa kuwa HAJAIKUBALI HALI HALISI. HAJAYAKUBALI MATOKEO. Bado ana ile mentality kuwa Ukiwa na maambukizi ya VVU ndo umeshalichungulia kaburi..... namwonea huruma sana. Anahitaji counselling ili ayakubali matokeo na kuendelea na maisha.

Kwa muda huu mpendwa chukua tahadhari, watu wa namna hii hawachelewi kuchukua maamuzi ya kijinga sana.

Babu anazidi kukuombea kwa Mungu, akupe nguvu ya kuukabili huu mtihani mgumu. Naamini utashinda.

Mungu na aendelee kukubariki na kukulinda.

Babu anarudi kitandani.

Ahsante sana Babu, nashukuru
 
Pole mpendwa. Nafikiri mumeo anakupenda na asingependa kuona unajihisi vibaya au unakosa raha. Ni jambo la kushukuru na kufurahi.
Pia inawezekana na yeye ameathirika ila hajataka kuwa muwazi kwako.
 
Habari wana jamii wote,ni mara yangu ya kwanza kuingia huku kwenye forum hii
Naomba sana mnipe ushauri wenu kwa haya nitakayoyaeleza hapa

Mimi nimeolewa nina miaka 13 katika ndoa, nina mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka 12, mume wangu ana mtoto wa kike mwenye miaka 10 aliezaa na mwanamke mwingine.

tatizo langu ni kuwa miaka mitatu iliyopita niligundua kuwa nimeathirika na sasa natumia dawa za kupunguza makali(ARV)
Nilishindwa kumweleza mume wangu kuhusu hali yangu kwa kuwa kila nilipomshauri kuhusu kupima afya alikuwa hataki akidai kuwa siku akigundua kuwa ameathirika atakufa. Ila mimi nilipogundua kuwa nimeathirika nikawa sikubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga, ingawa wakati mwingine alikuwa analazimisha lakini sikuwa tayari.

Hivi karibuni akanieleza kuwa amegundua kuhusu hali yangu baada ya kuona kadi yangu ya clinic, na yeye ameenda kupima na amesema yeye hajaathirika, hivyo kasema tuendelee kuishi bila watu kujua.

Mimi nikampa option kuwa kwa kuwa yeye ni mzima basi nisimbane kama atahitaji awe na mwenza mwingine basi tunaweza kuachana na yeye akaanza maisha mapya, lakini kasema kuwa haiwezekani tuachane kwa kuwa tumeishi muda mrefu na tumesaidiana mengi.

sasa naomba ushauri wenu je hili linawezekana? Au mna ushauri gani?

Ahasanteni
Let me analyse your story as follows;
- Duration of marriage.......13 years!
- First born in the marriage.....12 years!
- Father's second born out of the marriage.....10 years!
- Previous HIV test agreements..... Father NO, Wife YES to visit the HIV test center!
- Situation in test...... Individually!
- HIV test results..... Father negative, Wife positive!
- Duration for discovering HIV results......3years!
- Wife's name ....... Baraka_41!
- Opinions after HIV status discovered......Wife; Divorce, Father; Never divorce!

Questions arising in my minds;
- The father's second born is 10years old, and she is originated out of "ndoa"...! and a wife became HIV positive within marriage and she was affected alone...! Je, uaminifu kwenye ndoa uko wapi?
- If a wife proposed for divorce under the marital status, did she forget the negative effects of divorce to their first-born of 12years?
- Kama haukuwepo uaminifu kwenye ndoa, hii kuathirika kwa mama sio adhabu ya kulipiza kisasi kwa mumewe baada ya kugundua baba ana mtoto nje?
- How comes the name of the woman to be "Baraka"?
- Kwanini baba ameamua kwenda kupima mwenyewe sasa? Huo ujasiri kautoa wapi?
- Mbona mama mwenyewe hana uhakika kama ugonjwa huu kaupata wapi? Au vituo vimekuwa vingi?


My stand;
I guess that this story is cooked and not real.....! Otherwise, huenda hata baba ameathirika.....!
 
Pole sana kwa yote yanayokukuta
zidi kumwomba Mungu hatakuacha kipindi hiki kigumu katika maisha yako.
kuna familia moja mke aliugua kwa muda mwisho akaamua kupima majibu yalikuwa Positive
mume akamtia moyo maisha yakaendelea kumbe yule mume alikuwa amepima siku nyingi na aligundua
ni positive akaanza kutumia dawa bila kumshirikisha mkewe matokeo yake yule mama ameshafariki baba
anaendelea kudunda.
inawezekana mumeo alishagundua hilo mapema bila wewe kujua anatumia dawa kwa siri
na kitendo cha wewe kwenda kupima na kujua ukweli ndicho kinachomchanganya.
jipe moyo yatapita unamaisha marefu yakuendelea kulea familia yako



 
Pole sana kwa yote yanayokukuta
zidi kumwomba Mungu hatakuacha kipindi hiki kigumu katika maisha yako.
kuna familia moja mke aliugua kwa muda mwisho akaamua kupima majibu yalikuwa Positive
mume akamtia moyo maisha yakaendelea kumbe yule mume alikuwa amepima siku nyingi na aligundua
ni positive akaanza kutumia dawa bila kumshirikisha mkewe matokeo yake yule mama ameshafariki baba
anaendelea kudunda.
inawezekana mumeo alishagundua hilo mapema bila wewe kujua anatumia dawa kwa siri
na kitendo cha wewe kwenda kupima na kujua ukweli ndicho kinachomchanganya.
jipe moyo yatapita unamaisha marefu yakuendelea kulea familia yako




Bibi mzuri sana wewe!
 
Let me analyse your story as follows;
- Duration of marriage.......13 years!
- First born in the marriage.....12 years!
- Father's second born out of the marriage.....10 years!
- Previous HIV test agreements..... Father NO, Wife YES to visit the HIV test center!
- Situation in test...... Individually!
- HIV test results..... Father negative, Wife positive!
- Duration for discovering HIV results......3years!
- Wife's name ....... Baraka_41!
- Opinions after HIV status discovered......Wife; Divorce, Father; Never divorce!

Questions arising in my minds;
- The father's second born is 10years old, and she is originated out of "ndoa"...! and a wife became HIV positive within marriage and she was affected alone...! Je, uaminifu kwenye ndoa uko wapi?
- If a wife proposed for divorce under the marital status, did she forget the negative effects of divorce to their first-born of 12years?
- Kama haukuwepo uaminifu kwenye ndoa, hii kuathirika kwa mama sio adhabu ya kulipiza kisasi kwa mumewe baada ya kugundua baba ana mtoto nje?
- How comes the name of the woman to be "Baraka"?
- Kwanini baba ameamua kwenda kupima mwenyewe sasa? Huo ujasiri kautoa wapi?
- Mbona mama mwenyewe hana uhakika kama ugonjwa huu kaupata wapi? Au vituo vimekuwa vingi?


My stand;
I guess that this story is cooked and not real.....! Otherwise, huenda hata baba ameathirika.....!
Mheshimiwa SharpCorner heshima mbele na salamu

Hapo kwenye red, kuna kosa gani kwa huyu mama aliyeathirika kujiita baraka_41? Tatizo alilo nalo na jina baraka kuna mashaka gani?...Nikuulize wewe ulivyojiita konakali, ulikuwa unamaanisha nini?...Sidhani kama jina lina uhusiano na mada inayozungumziwa hapa.

Hapo kwenye blue, hata mi niliingiwa na mashaka na kuhisi kuna uwezekano huyu mama aliamua kulipiza kisasi baada ya baba kumletea mtoto wa nje. Lakini nilisita kukonkludi hivyo bila kujihakikishia.....(hakuna kitu kibaya maishani mwangu na nachokiogopa kama kuhukumu).... Hatimaye mama akaweka hadharani kama nilivyomnukuu hapa chini.

Ahasante (Pihu)
Mimi kama sijapata kwake basi nitakuwa nilipata kabla ya kuolewa
Huo ndio ukweli wangu ndugu yangu.

Mheshimiwa kona kali, bado una mashaka na huyu binadamu mwenzetu?

Babu anarudi kitandani.
 
Kona kali bwana unataka kusema hakuna wanawake wanaoitwa Baraka?? Ntakushangaa sana ukinibishia maana ni wengi ninaowafahamu.
 
Mheshimiwa SharpCorner heshima mbele na salamu

Hapo kwenye red, kuna kosa gani kwa huyu mama aliyeathirika kujiita baraka_41? Tatizo alilo nalo na jina baraka kuna mashaka gani?...Nikuulize wewe ulivyojiita konakali, ulikuwa unamaanisha nini?...Sidhani kama jina lina uhusiano na mada inayozungumziwa hapa.

Hapo kwenye blue, hata mi niliingiwa na mashaka na kuhisi kuna uwezekano huyu mama aliamua kulipiza kisasi baada ya baba kumletea mtoto wa nje. Lakini nilisita kukonkludi hivyo bila kujihakikishia.....(hakuna kitu kibaya maishani mwangu na nachokiogopa kama kuhukumu).... Hatimaye mama akaweka hadharani kama nilivyomnukuu hapa chini.



Mheshimiwa kona kali, bado una mashaka na huyu binadamu mwenzetu?

Babu anarudi kitandani.

Kona kali bwana unataka kusema hakuna wanawake wanaoitwa Baraka?? Ntakushangaa sana ukinibishia maana ni wengi ninaowafahamu.

Wandugu kwa swala la jina ningeomba tusilishikie bango..... hakuna ubishi....! So, let us go on dealing with the situation....! Kama Babu alivyomnukuu mhusika kuhusu anavyohisi alivyopatia ajali basi binafsi nazidi kuamini kuwa huenda mwanaume ndio kamletea..... na ndio maana nimehoji ujasiri wa huyo mwanaume kwa sasa kwenda kupima tena bila kuhitaji company......!
 
Wandugu kwa swala la jina ningeomba tusilishikie bango..... hakuna ubishi....! So, let us go on dealing with the situation....! Kama Babu alivyomnukuu mhusika kuhusu anavyohisi alivyopatia ajali basi binafsi nazidi kuamini kuwa huenda mwanaume ndio kamletea..... na ndio maana nimehoji ujasiri wa huyo mwanaume kwa sasa kwenda kupima tena bila kuhitaji company......!

Kweli kabisa huo mtazamo kama wako nadhani unawezakuwa ndio picha halisi. Ila tu hiyo reaction ya shemeji inanitisha ninaomba dada Baraka_41 uwe mwangalifu kwa kila move.......akiwa nicer to you usibweteke na kuamini kuwa amerudi kwenye senses zake inawezekana kuwa ni mtego.anaweza hata kukutilia sumu na yeye kujimaliza .........out of frustration. Just kuwa makini
 
Nawashukuru wote kwa ushauri wenu mzuri, nawashukuru sana na mmenipa moyo sana maana mwanzo nilikuwa nimechanganyikiwa sana, Kwa sasa mimi nipo namsikiliza atakachoamua then nitajua la kufanya kulingana na maamuzi yake.

Mwenyezi mungu awabariki sana.
 
Back
Top Bottom