Naomba kujuzwa namna ya kuingiza pesa kupitia Mitandao (Online)

Hapo ndipo yafaa uingie chimbo usome uchukue muda usome uelewe maana si kitu utaelezwa tu hapa jf uwe expert. Kuna niche nyingi tu za kuandikia hivyo mada ni nyingi tu ili mradi articles zako ziwe informative mtu akisoma na kesho arudi.
Jifunze keywords ranking, jifunze external links na internal links, back links, jinsi ya kuformat articles, jinsi kuandika titles za articles chagua niche unayoimudu. Sio kazi ya kuingia leo halafu eto ufhani utapga pesa baada ya mwezi. It takes time and patience and consistency
Hivi unaweza kutumia hiyo seo kuweza kupata traffic wa kutosha kwenye website??
 
Hivi unaweza kutumia hiyo seo kuweza kupata traffic wa kutosha kwenye website??
Yes ni moja kati ya effective way ya kudrive traffick kwenye tovuti yako maana ina maana web ita rank juu kwenye googles search na watu tunatendence ya kufungua matokeo ya juu. SEO ni muhimu sana ili kupata traffick kubwa na endelevu
 
Yes ni moja kati ya effective way ya kudrive traffick kwenye tovuti yako maana ina maana web ita rank juu kwenye googles search na watu tunatendence ya kufungua matokeo ya juu. SEO ni muhimu sana ili kupata traffick kubwa na endelevu
Hivi kujifunza kuimaster SEO ni ngumu kwamba nikiipiga mwenyewe nitashindwa??
Maana nimeingia freelance kutaguta watu wa kunifanyia marketing,wanabei balaaa..wengi wanataka kjlipwa zaidi ya 20 dollar per hour,
 
Hivi kujifunza kuimaster SEO ni ngumu kwamba nikiipiga mwenyewe nitashindwa??
Maana nimeingia freelance kutaguta watu wa kunifanyia marketing,wanabei balaaa..wengi wanataka kjlipwa zaidi ya 20 dollar per hour,
Hapana unajifunza na uzuri kuna google adwords utatumia bure, ila wakati tunafanya Google keyword research kwa ajili ya products za page za Google wenyewe za kiswahili walitupa akaunti za Mypaseo ambazo ni za kulipia sijui kwanini wamaprefer mypaseo kuliko hata platform yao ya adwords.
Chukua muda soma sio ngumu kihivyo na jinsi unavyofanya ndivyo unavyoweza.
 
Hapana unajifunza na uzuri kuna google adwords utatumia bure, ila wakati tunafanya Google keyword research kwa ajili ya products za page za Google wenyewe za kiswahili walitupa akaunti za Mypaseo ambazo ni za kulipia sijui kwanini wamaprefer mypaseo kuliko hata platform yao ya adwords.
Chukua muda soma sio ngumu kihivyo na jinsi unavyofanya ndivyo unavyoweza.
Ngoja nifanye hivyo aisee,hivi kwenye hizo course zipo course za kufanya cloak kwenye Facebook ads??

Au kama kuna njia nyingine nzuri tofauti na Facebook ds
 
Mkuu kuingiza hela kwa njia ya mtandao,rahisi ni kutangaza biashara yako na kutafuta masoko kwa njia hiyo kisha utalipwa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao.
 
Mkuu udemy.com ni mtandao unaotoa course mbalimbali kwa malipo. Angalia courses zenye review zaidi. Ila kumbuka usimfanye asome kitu asichopenda hakitomlipa.
Haya mambo pia yanahitaji passion maana yanachukua muda kulipa na hapo sasa kama huna passion nayo utaquit.
Mimi blogging imenishinda kwa sababu sina passion nayo naona inanichelewesha.
daah asante
 
Ni rahisi sana unaangalia video inaelekeza kila kitu.
Unawasha SAA 9jioni unazima SAA 4usiku j3 mpk ijumaa.
 
miezi 2 yakujifunza ushuzi wakuja kukufilisi nina jamaa yangu alimaliza mishahara mitatu kwenye huo ujinga tulimwambia hakutaka kusikia
Hakuna unachojua kuhusu forex kaa kimya choko ww ,,unakuta hata maana ya Breakeven hujui Yan kitu ambacho hukijui haitakiw kudiss
 
Hakuna unachojua kuhusu forex kaa kimya choko ww ,,unakuta hata maana ya Breakeven hujui Yan kitu ambacho hukijui haitakiw kudiss
Wewe tapeli tu. Na ndiyo maana umetumia lugha ya matusi kwa sababu amewasanua wajinga mliozoea kuwapiga. Hakuna hela ya bure bure siku hizi.
 
Kwa sasa kuna huyu bwana anaitwa ChatGPT, ukimtumia vizuri kuandika articles na copywriting ukauza ujuzi wako mtandao kama freelancer.com unaweza kuingiza ela ya kutosha hata laki 2-3 kwa wiki. La msingi ni ukomae huko upate client. Ila mwanzo mgumu ila ukikomaa pia ukaongeza jinsi ya kuitumia kuandika articles zenye vigezo vya SEO utakuwa safe side.
anptikan vp ChatGPT..!?
 
kat
Forex wengi wanapoteza pesa, atafute ajira kwanza, forex iwe option namba mbili mpaka atakapokuwa profitable trader ndo aamue kuachana na jobs.
Akijiunga na prop firms anaweza ona ajira haina maana.
katika wote wanao ongelea forex wewe n mmoja wa watu uliyetoa point nzito na ya maana,...kama una zijua mpaka profirms,.bila shaka wewe n trader mwenzangu....na mimi nipo huko pia, nawachora tu watoto wanavyobishana kuhusu forex ni utapeli😂🤣🤣
 
Kwa sasa kuna huyu bwana anaitwa ChatGPT, ukimtumia vizuri kuandika articles na copywriting ukauza ujuzi wako mtandao kama freelancer.com unaweza kuingiza ela ya kutosha hata laki 2-3 kwa wiki. La msingi ni ukomae huko upate client. Ila mwanzo mgumu ila ukikomaa pia ukaongeza jinsi ya kuitumia kuandika articles zenye vigezo vya SEO utakuwa safe side.
Embu nisaidie Mkuu. Nimejiunga Upwork, miezi miwili Sasa , nmeomba kazi kibao ila hata sizipati,,embu tupe maujanja,
 
Back
Top Bottom