Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,155
- 31,081
Mkuu mbona kuna threads kibao zinapostiwa humu kila siku watu wamefafanua haya mambo kwa kina.search freelancing utaonaKama ngapi ziorozeshe apa
Mkuu mbona kuna threads kibao zinapostiwa humu kila siku watu wamefafanua haya mambo kwa kina.search freelancing utaonaKama ngapi ziorozeshe apa
asanteZipo sema ni kazi kama kazi nyingine sio easy money kama watu wengi wanavyofikiri... Ni kazi tena kama kazi yoyote
Kaanzie you tube mzee utapata majib ya maswal yako...forex ni nini inaingizaje pesa
Njoo inbox mkuu kama unataka kujua FOREX free kabisa hunipi hata mia...u
naweza nielekeza kuhusu forex
Kwan kujua FX hata kutrade kwa robot pia si inahitaji elimi mkuu...???Sahz mambo yamerahisishwa unatrae kwa robot tu loss kidogo sn
Articles zenye vigezo vya SEO zinakuwaje kuwaje?Kwa sasa kuna huyu bwana anaitwa ChatGPT, ukimtumia vizuri kuandika articles na copywriting ukauza ujuzi wako mtandao kama freelancer.com unaweza kuingiza ela ya kutosha hata laki 2-3 kwa wiki. La msingi ni ukomae huko upate client. Ila mwanzo mgumu ila ukikomaa pia ukaongeza jinsi ya kuitumia kuandika articles zenye vigezo vya SEO utakuwa safe side.
Piece maker ndiyo nani?Tafuta mtaji uanze ata kubet online Kama option ya pembeni. Ila forex ipo vizuri sanaaaa but unahitaji muda mrefu kijifunza, kuielewa na kupigwa ela ila ukisha elewa ndo umshukuru piece maker.
Articles zinazofuata misingi ya uandishi mfano kuhusisha keywords na formating ili ziweze kurank juu kwenye Google searchArticles zenye vigezo vya SEO zinakuwaje kuwaje?
Oooh hapo nimeelewa. Mambo ya vijana hayaArticles zinazofuata misingi ya uandishi mfano kuhusisha keywords na formating ili ziweze kurank juu kwenye Google search
Articles zinaweza husisha mada zozote pia?!Articles zinazofuata misingi ya uandishi mfano kuhusisha keywords na formating ili ziweze kurank juu kwenye Google search
Sio mambo ya vijana na utaalamu kama utaalamu mwingine na ni kazi ambayo inawaingizia mamilion ya ela watu huko kwa mwezi. Kwani wazee nyie hampendi pesa?Oooh hapo nimeelewa. Mambo ya vijana haya
Sasa mada ni zipi? Je, hizo articles zinatakiwa kuwa habari/news au nini?Sio mambo ya vijana na utaalamu kama utaalamu mwingine na ni kazi ambayo inawaingizia mamilion ya ela watu huko kwa mwezi. Kwani wazee nyie hampendi pesa?
Hapo ndipo yafaa uingie chimbo usome uchukue muda usome uelewe maana si kitu utaelezwa tu hapa jf uwe expert. Kuna niche nyingi tu za kuandikia hivyo mada ni nyingi tu ili mradi articles zako ziwe informative mtu akisoma na kesho arudi.Sasa mada ni zipi? Je, hizo articles zinatakiwa kuwa habari/news au nini?
Ooh sasa hilo chimbo la kujifunza ni wapi kijana?Hapo ndipo yafaa uingie chimbo usome uchukue muda usome uelewe maana si kitu utaelezwa tu hapa jf uwe expert. Kuna niche nyingi tu za kuandikia hivyo mada ni nyingi tu ili mradi articles zako ziwe informative mtu akisoma na kesho arudi.
Jifunze keywords ranking, jifunze external links na internal links, back links, jinsi ya kuformat articles, jinsi kuandika titles za articles chagua niche unayoimudu. Sio kazi ya kuingia leo halafu eto ufhani utapga pesa baada ya mwezi. It takes time and patience and consistency
Huu siyo wizi kweli? Wewe umefaidika nini tangu umeanza ku trade?! (Kuwa mkweli)Sikushauri kubet. Jifunze kutrade forex kwa kutumia robot kwanza huku ukijifunza manual. Hutapoteza mtaji wako ng'o.
Ukihitaji hiyo njoo inbox
Mtandaoni kuna kila kitu ukiona haitoshi nenda udemy lipia ule course. Lakini mtandaoni kuna tools kibao na sources za kujifunza ni muda wako tu.Ooh sasa hilo chimbo la kujifunza ni wapi kijana?
Oooh nimekuelewa.! Udemy ni wapi kijana? Mimi najua sitoweza ila angalau kijana wangu akajifunze.Mtandaoni kuna kila kitu ukiona haitoshi nenda udemy lipia ule course. Lakini mtandaoni kuna tools kibao na sources za kujifunza ni muda wako tu.
But kumbuka blogging inalipa zaidi wanaofanya kitu kwa passion kuliko wanaofanya for money huwa wanaquit kabla ya mafanikio
Mkuu udemy.com ni mtandao unaotoa course mbalimbali kwa malipo. Angalia courses zenye review zaidi. Ila kumbuka usimfanye asome kitu asichopenda hakitomlipa.Oooh nimekuelewa.! Udemy ni wapi kijana? Mimi najua sitoweza ila angalau kijana wangu akajifunze.