Mhandisi wa Umeme
Member
- Jan 6, 2012
- 31
- 4
Habari zenu wakubwa,
je kuna mtu yeyote ambaye amewahi kuchukua hela ya NSSF kabla ya miezi sita (6) kupita?
Kama yupo naomba anifahamishe sababu alizotumia kupata.
je kuna mtu yeyote ambaye amewahi kuchukua hela ya NSSF kabla ya miezi sita (6) kupita?
Kama yupo naomba anifahamishe sababu alizotumia kupata.