primierboy
Member
- Jan 27, 2019
- 15
- 7
Jamani naomba msaada kwa anaeelewa kuhusu mafao ya NSSF.
Mimi nimewahi kuajiriwa kama professional na baada ya mkataba nilifungua madai NSSF nikalipwa kwa mfumo wa 33.3% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 6 then muda ukapita nikiwa napambana na maisha.
Baada ya muda nikapata kazi ambayo si professional niliajiriwa kama security lakini nikawa nawekewa michango yangu NSSF kama kawaida lakini kwa Sasa nimeachishwa kazi ninahitaji kwenda kufungua madai NSSF.
Swali langu hapa ni je, nitalipwa pesa zangu zote zilizopo NSSF kwa mara moja au nitaanza tena kulipwa 33.3% kama walivonifanyiaga malipo zamani?
Natanguliza shukrani.
Mimi nimewahi kuajiriwa kama professional na baada ya mkataba nilifungua madai NSSF nikalipwa kwa mfumo wa 33.3% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 6 then muda ukapita nikiwa napambana na maisha.
Baada ya muda nikapata kazi ambayo si professional niliajiriwa kama security lakini nikawa nawekewa michango yangu NSSF kama kawaida lakini kwa Sasa nimeachishwa kazi ninahitaji kwenda kufungua madai NSSF.
Swali langu hapa ni je, nitalipwa pesa zangu zote zilizopo NSSF kwa mara moja au nitaanza tena kulipwa 33.3% kama walivonifanyiaga malipo zamani?
Natanguliza shukrani.