Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Msisahau pia kuwa alikuwa fellow member wa kumbi za DDC Magomeni Kondoa na DDC Kariakooyuko kenye red lines kwa standard za sasa, yaani kacheza sana na C na sup kibao, ..he is not hardworker huyu mtu hawezi kusoma documents. Baada ya kumaliza chuo akaenda TANU kuanza kugawa kadi za wanachama! since then....
Reasons za kufeli: muda mwingi alikuwa anajihusisha na harakati za kiislamu (hapa sio udini, kuna wakristo wengi wamefeli kwa kupoteza muda kwenye dini) Kikwete was one of them kila kongamano la kidini , ndani na nje alikuwemo!!!! ni mtu ambaye ana utukuza uislamu wenye siasa kali! brotherhood, hivi ndivyo alivyo