Naomba Kujua Elimu na GPA ya Jakaya Kikwete!

CDM inafanya vizuri chini ya kilaza kama mbowe na arfu na hii inatuashiria mleta mada upeo wake wa kufikiri upo namna gani.
Kuna watu kama lema, myika,wanje,nk wapo fiti kiongozi ingawa elimu zao ni ndogo achilia mbali kushindwa kufika vyuoni kupima gpa.
Uliza gpa za chenge ushangae na roho yako
 
Uwezo wa kuchanganua mambo, unaendana na GPA, Kama inflation inaenda juu then jk ananukuliwa et "sis 2fanyeje", kuna rais hapo au rahisi?
 
Ufaulu wa GPA wa JK unaweza ukawa mzuri darasani dhaifu kiutendaji au kutokana na uswahiba na mafisadi ndo maana anashindwa kuwajibika kama mkuu wa nchi huu ni uzembe nchi za wenzetu ndio maana wanaandamana kupinga ukandamizaji dhidi ya raia watachoka mwisho ndo kama Tunisia na Misri
 
wadanganyika wenzangu nafikiri issue ya GPA siyo la msingi sana kwa sababu haina uhusiano wa moja kwa moja na utendaji wa kiakili, kwani wengine wamezipata kubwa wakitumia "KAMLINZI"! issue ni utendaji. GPA ya PREZ siyo issue, issue ni kuwa ameshindwa kuiongoza nchi, kwa hilo cn mashaka!
 
Ndugu zanguni,

sikubaliani sana na wale wanaobeza swala la GPA, hasa wanapofanya tuamini kuwa GPA haina uhusiano kabisa na utendaji kazi. Inawezeakan kiwango fulani kidogo lakini kwa kiwango kikubwa, kwa wengin GPA ina uhusiano na utendeaji kazi. JK anaweza kuwa kati ya wale ambao ijapokuwa GPA yake siyo kubwa sana utendaji wake wa kazi ni mzuri kuliko wale wenye GPA kubwa.

Tatizo ni kuanza kubeza GPA. Halafu baadaye ni kubeza swal la kuwa na degree. Tukifanikiwa hapo tutabeza diploma, halafu kidato cha sita, halafu kidatu cha nne, halasu darasa la saba. Mwishoni tutasema kuwa Rais siyo lazima ujue kusoma na kuandika!
 
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?

Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.

Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.

Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!

Nafikiri kitu kikubwa kuangalia ni upeo wa mtu,vipi naweza kuona mbali,unaweza ukawa na darasa la saba tu lakini ukawa creative/innovative man, waliunda ndege before hawakuwa na degree wala diploma...

Tatizo kubwa lililo ikuta tanganyika ni kutokana na ule urafiki,udugu,ndio nchi inapoelekea kubaya,pia siasa za kikoloni,sera za kidictetor, missing of human right,,,,usaniii mwingi,,,honestly kutoweka,,,,viongozi wanalipana wao kwa wao,,,,,umepewa uwongozi watu wamekupigia campain so lazima yu pay back,,,ndio tunaona hapo wanapewa uwongozi watu ambao vifuu wizi,matapeli na kuiitia hasara nchi,kikwete sio mbaya ila viongozi wake wabaya,wanamuharibia jina kabisa,....

Anachotakiwa kufanya kuacha urafiki na kuangalia cv za watu,pia kuweka watu under control kwa mfano,kuweka mfumo wa kisasa wakitechnology,kumtambua mtu elimu yale,history yake,address yake,......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom