Naomba Kujua Elimu na GPA ya Jakaya Kikwete!

sina mchango! kinachoangaliwa hapa ni maamuzi ya kijinga yanayofanywa na viongozi wetu, mfano lowasa na kikwete waliwahi kusema mikopo itolewe kwa wanafunzi waliopata form six division one na two only. je wao waliweza kuzipata izo wakati wao? mtoa mada hajakosea anajaribu kupima watu kwa kipimo walichokiweka wenyewe. ccm kusema kuwa mgombea wa urais awe amemaliza chuo kikuu, kipimo kinachofuata je kwa kiwango gani? haijalishi una diploma au degree bado unaweza kuwa kiongozi mzuri, ila ukianzaa kuboronga kama jk itabidi tukupime kwa kipimo chako unachostahili
 
Mjadala safi sana huu kwani GPA zina maana sana kwa maisha ya mtu. Huwezi kulinganisha mtu mwenye GPA ya 2.0 na 4.8 hata siku moja. Watu wanafikiria kuwa Mrema alifanyakazi nzuri sana lakini kuna mengi nyuma ya pazia ambayo Mrema alikuwa analopoka tu kama mgonjwa wa akili. Hapo ndo GPA ina chukua nafasi katika maisha.

Mimi sijaona sana makosa ya Kikwete kwani Kikwete wa 2005 aliyetuahidi maisha bora kwa kila mtanzania ni Kikwete tofauti sana na tuliyenae leo. Kikwete alianza ku-overhaul serikali yote kwa kuteua watu wapya ili kuinua ufanisi na alianza na moto kwa kesi za akina Zombe. Hakuwa na mzaa lakini alichakachuliwa sana na waliomweka madarakani hasa EL na RA. Huyu tuliye nae siye Kikwete niliye mfahamu 2005!!!!! Siyo kuwa ni kilaza ila amechakachuliwa sana sana sana ..... sasa amechuja kabisa.
 
sina mchango! kinachoangaliwa hapa ni maamuzi ya kijinga yanayofanywa na viongozi wetu, mfano lowasa na kikwete waliwahi kusema mikopo itolewe kwa wanafunzi waliopata form six division one na two only. je wao waliweza kuzipata izo wakati wao? mtoa mada hajakosea anajaribu kupima watu kwa kipimo walichokiweka wenyewe. ccm kusema kuwa mgombea wa urais awe amemaliza chuo kikuu, kipimo kinachofuata je kwa kiwango gani? haijalishi una diploma au degree bado unaweza kuwa kiongozi mzuri, ila ukianzaa kuboronga kama jk itabidi tukupime kwa kipimo chako unachostahili

Mchango wako ni murua sana. In fact suala la performance lilianza kutumika baada ya Boyz II men kushika hatamu. Kwa hiyo, wanaomtetea jk kwa suala la GPA wasijisikie shida sana maana ni yeye jk mwenyewe aliyeibua.
 
Tusiwe na double standards kuna mahali watu wanasema elimu sio muhimu(impliedly kuwa GPA sio muhimu) tukihoji elimu ya Mbowe, mgombea Mwenza au Mungu Bariki Lema. Lakini hapa ndio hawo hao wanahoji GPA ya JK. Sasa unashindwa kuelewa. Nadhani tusitoke nje ya maudhui ya mleta hoja: Tuorodhesha mazuri ya JK:


  1. Hana Kinyongo- kasalimiana na Mbowe kweupeee mchana, je angemchunia kama Kaseja alivyomchunia nani vile si ingekuwa noma
  2. Haja complicate urais kama watu wengine- anavaa jeans, Tshirts, hafuati sana ptotokali mahali pasipostahili: Kimsingi he is an easy person to talk to: Kuna mameneja, mawaziri, ma director huwezi hata kuongea nao japo unafanya napo kazi kila siku
 
Okay- So let me get this straight, Kikwete has a pass degree with 2.1 GPA right? Oh boy, I knew this was coming.
 
Jamani msianze kutafuta GPA maana GPA haikutumika UDSM hadi mwaka 1979. Sasa hao wanaodai GPA ya kikwete na hizo GPA mnazoandika si wa kweli. GPA ni kipimo iliyotolewa miaka ya baadaye. Idadi ya masomo pia ilikuwa ngumu sana kuwepo na kipimo hicho.
Kama GPA amewekea JK basi ni mtu amechukua vyeti vyake na kufanya calculations. Na isitoshe miaka ya 70 masomo yalikuwa na unit 2 na siyo 3 kama sasa.
Go figure!
 
gpa ya wapi tanzania?
ivi osoro, alikuwepo enzi hizo au alikuwa bado hajaanza kufundisha?
mana jamaa alikuwa noma paper yake ata uwe vema upstairs uwezi pata zaidi ya 41%.

gpa za tz zimechakachuliwa uonevu kibao upendeleo kama ada.
 
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?

Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.

Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.

Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!

GPA siijui lakini ni nzuri kuliko ya mbowe
 
Asanteni kwa kutufahamisha alivyoperform mr. President (gpa 2.1)kumbe hata ukweli unaweza kupuuzwa! watu wameuliza uwezo wa jk chuo, mnachakachua oh mrema, oh lema, oh hata sokoine hao naamini wangefika chuo wangepata above ya hiyo 2.1 kumbuka wakati huo chuo kilikuwa kimoja tz.
 
Asanteni kwa kutufahamisha alivyoperform mr. President (gpa 2.1)kumbe hata ukweli unaweza kupuuzwa! watu wameuliza uwezo wa jk chuo, mnachakachua oh mrema, oh lema, oh hata sokoine hao naamini wangefika chuo wangepata above ya hiyo 2.1 kumbuka wakati huo chuo kilikuwa kimoja tz.
 
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?

Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.

Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.

Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!

Woo I like this one. But lazima tukumbuke ph D zote ambazo kapewa hazina GPA, hii ni facts...Sasa kuhusu college mimi nafikiri tusiende mbali tumpime kwa uongozi na CV yake yote. Leo tunajua tangu aingie Ikulu 2005, Lowasa na yeye waliweza kuanzisha jopo la wezi na Rostam akajitokeza kama Commando wa deals, thamani ya shilingi imeenda chini tangu yeye na Mkapa. Nashindwa hata kuzungumzia kwa kirefu nikitaja jina la Mkapa, kama mtu wa kumlinganisha ni Mkapa alietutia hasara kitaifa for another 50years to come, lakini sina wa kumlinganisha na JK. Ukiangalia makampuni yote serikali imesimamia kujiuzia, waliofaidika na wanaofiadika mpaka sasa ni wawekezaji: JK, Lowasa, Rostam, Mkapa, na mafisadi. Nafikiri kwa kifupi tu nisummarize ifuatavyo:

Vitengo Grade
Uongozi F
Uchumi -F
Wizi - F
Rushwa -F
Uzembe -F
Selfishness -F
Starehe na mavazi A
Kusafiri A
Kutaka Credit za bure A
Kulinda Mafisadi A
Role model -F
 
Woo I like this one. But lazima tukumbuke ph D zote ambazo kapewa hazina GPA, hii ni facts...Sasa kuhusu college mimi nafikiri tusiende mbali tumpime kwa uongozi na CV yake yote. Leo tunajua tangu aingie Ikulu 2005, Lowasa na yeye waliweza kuanzisha jopo la wezi na Rostam akajitokeza kama Commando wa deals, thamani ya shilingi imeenda chini tangu yeye na Mkapa. Nashindwa hata kuzungumzia kwa kirefu nikitaja jina la Mkapa, kama mtu wa kumlinganisha ni Mkapa alietutia hasara kitaifa for another 50years to come, lakini sina wa kumlinganisha na JK. Ukiangalia makampuni yote serikali imesimamia kujiuzia, waliofaidika na wanaofiadika mpaka sasa ni wawekezaji: JK, Lowasa, Rostam, Mkapa, na mafisadi. Nafikiri kwa kifupi tu nisummarize ifuatavyo:

Vitengo Grade
Uongozi F
Uchumi -F
Wizi - F
Rushwa -F
Uzembe -F
Selfishness -F
Starehe na mavazi A
Kusafiri A
Kutaka Credit za bure A
Kulinda Mafisadi A
Role model -F

Typo error wizi ana A
 
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona haelekei kama ni Rais mwenye elimu ya ngazi hiyo?

Kama kweli alienda shule na ana shahada ya Chuo Kikuu naomba niambieni kiwango chake cha ufaulu (GPA) wa hiyo shahada yake, maana inavyoonekana wapo wanaojua uwezo wake wa kufikiri ndio maana wanamfanyia madudu wakijua hataweza kufikiri kwa 'level' ya kujua kuwa anachezewa shere.

Naomba na za watoto wake maana kwa style CCM isije na watoto wake wakawa kama Baba yao. Ni muhimu wasije wakapewa uongozi ikawa tunaendeleza ule usemi 'like father like child'.

Nisaidieni jamani, maana siamini kuwa Kikwete ameenda shule!!!!!!!!

Watu wenye mawazo mgando utawajua tu!! Binafsi nikiiangalia hoja yako napata kizunguzungu kwa kuwa naamini wewe ni "msomi" japo "wasomi" wetu wa siku hizi 90% wanadesa tu.

Nani alikwambia GPA/Elimu ndo kigezo cha kuwa kiongozi mzuri? Liyumba ni msomi mzuri, lakini juzi tu amefungwa kwa vitendo vya rushwa. Profesa Mahalu naye ni msomi mkubwa lakini mambo aliyoyafanya akiwa balozi Italy nani asiyeyajua? Mtwa Mkwawa hakwenda shule, Hatati Kawawa alikuwa ana shule ya kawaida tu lakini walikuwa na kipaji cha kuongoza na kuhamasisha.

GPA yake sisi inatuhusu nini? Mawazo mgando.
 
There is no correlation between creativity and one's intelligence. Researches have proved that less intelligent people climbs the ladder of success faster, Kikwete being one of them. Critical reasoning accounts for failure of most intelligent people.
 
kwa enzi hizo economics ilikuwa haija chakachuliwa na ndio maana alipata gentler mana ingekuwa kwa sasa angekuwa na first GPA
 
Kama vile iboru ya zamani na ya sasa uwezi ukailinganisha mtu alikuwa akichaguliwa nyie wenyewe mnamkubali akawawa kilishe lakini sasa hivi imeisha chakachuliwa hadi wanapata 111 na 1v na o
 
je hiyo economics yake anaitumiaje katika uchumi wetu leo akiwa kama Rais? au unamaanisha angekuwa Rais kipindi kile kabla hajachakachuliwa angeitumia vizuri? au una maanisha nini?:twitch:
kwa enzi hizo economics ilikuwa haija chakachuliwa na ndio maana alipata gentler mana ingekuwa kwa sasa angekuwa na first GPA
 
Back
Top Bottom