Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Mkuu Admin, kwa huzuni na taadhima, naomba kama upo uwezekano liwepo JUKWAA la Malenga maana wapo wengi na wenye uwezo wa kupanga verse kwaetu sisi twawaita wazee wa VINA na VISHARI, kuna jukwaa la Lugha, Mapenzi, Siasa na mengine mengi tu, Je malenga wavinjari wapi?...Nawakilisha tu...