THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Kiukweli Nikiripoti kutoka hapa Jamii Forum,Jukwaa la Sports(Michezo) hali ilivyo ndugu Msomaji ni ya utulivu wa hali ya juu hali ipo shwari kabisa..
Hakuna mtu alieanzisha UZI wa TWE! TWE! TWE! kama ngoma ya Kizz Daniel Maana wameona Jinsi gani Team Lao Tia Maji Tia Maji.
UKIBISHA NA UKACHEKACHEKA ETI MME DRAW NAOMBA UNIJIBU HILI SWALI?
NANI ALIKUA HOME?
Ndugu Msomaji kwa kumalizia tu hapa naona Kila Mtu yupo busy na Sabato hayo yote yameletwa kwa udhamini wa Azam Football Club.
Hadi wakat Mwingine Usiku Mwema kwenu nyote.
Hakuna mtu alieanzisha UZI wa TWE! TWE! TWE! kama ngoma ya Kizz Daniel Maana wameona Jinsi gani Team Lao Tia Maji Tia Maji.
UKIBISHA NA UKACHEKACHEKA ETI MME DRAW NAOMBA UNIJIBU HILI SWALI?
NANI ALIKUA HOME?
Ndugu Msomaji kwa kumalizia tu hapa naona Kila Mtu yupo busy na Sabato hayo yote yameletwa kwa udhamini wa Azam Football Club.
Hadi wakat Mwingine Usiku Mwema kwenu nyote.