Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 16,066
- 10,567
Upo sahihi kabisa.ni lazima tukilinde chama chetu kwa nguvu zetu zote na tusikubali watu wachache kuwadhalilisha viongozi wetu na chama chetu. Lakini pia watanzania tujifunze kukosoana kwa hekima ,busara na staha na siyo kudhalilishana kwa chuki binafsi tu.