sawa ndgu wewe usiye mwoga wa demokrasia tuambie uchaguz wa mwenyekiti wa chadema utafanyika lin?na anaongoza kwa miaka mingap kulingana na katiba yenu?
CCM tangu kuanzishwa kwake imekuwa na desturi ya kuongozwa na Mwenyekiti wa Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jambo hilo limetokea kwakuwa CCM imekuwa ikishinda kwenye uchaguzi na kutoa Rais.
Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa. Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa. Utamaduni na utaratibu huo ulimhusu pia Rais Mstaafu Mzee Benjamin Mkapa. Hata sasa,Rais Jakaya Kikwete ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Uenyekiti wa Rais Kikwete unakoma mwaka 2017 kwakuwa alichaguliwa mwaka 2012 kwa mara ya pili ya miaka mitano. Sasa,uenyekiti wa CCM Taifa utakuwaje au nani atakuwa Mwenyekiti endapo Dr. John Magufuli atashindwa kwenye Urais hapo Oktoba 25?
Mwisho wa upinzani nchini unatabiriwa lowasa kaja kuua upinzani sumaye oya oya tu hana ishus ajiandae kufilisiwa mali zote alizopora
asante mkuu,kwahyo ukawa tayar mshathnk about tommorrow!xo tel me mkishndwa lowassa atapewa cheo gan cdm?duni haji atarud cuf?sumaye je?nan ataendeleza harakat za dr.slaa na zitto juu ya ufisadi?
Why cant you write properly? Nimeshindwa kuelewa unamaanisha nini?
Baada ya oktoba CCM kinakufa rasmi kama KANU.... Wengi wa wanachama wa CCM ni wanafiki watajiunga Ukawa
yani wewe inawezekana kweli uwe unaishi bila plan ... ndo maana kweli uko CCM... kila kitu kwenye maisha lazima kiwe na pande mbili na Mungu aliiumba hivyo usipoenda mbinguni utaenda Jehanam.. ili uweze kuchagua moja..Habari ni ya kufiria na kuadhania ,,,,kwa haina maana yoyote ,,,,ndio maana endapo ,,unatuletea hoja ya endapo ..tujadilini mambo yaliyopo tuachane na hoja za kufikiria na kudhania .usje cku moja ukauliza endapo bahari ya Hindi itakauka itakuwaje .
Nani kakwambia CCM itashindwa? Hulijui Goli la mkono wewe?
Sidhani kama kutakuwa na uvumilibu huo kumwacha mwenyekiti aliyesababish kushindwa aendelee. Mabadiliko ya uongozi itakuwa immediate
Nini itakuwa kaulimbiu ya CHADEMA.?Mbona Umepanic Mkuu,lowassa Akishindwa Atapewa Cheo Gan?Na Sumaye Je?Duni Haji Atarud Cuf?Katibu Mkuu Atakua Nan Chadema?Ukawa Itaendelea Kuwepo?Nan Ataendeleza Harakat Za Dr.Slaa Na Zitto?
Baada ya oktoba CCM kinakufa rasmi kama KANU.... Wengi wa wanachama wa CCM ni wanafiki watajiunga Ukawa
Akishindwa makomeo Kibajaji ndiye ameandaliwa kumpokea JK kijiti cha uenyekiti