Lowassa kapata sehemu tu wakujifarijia
Lakni IKULU asahau
Nahayo madeni kwa wale matajili zake ukawa mtamsaidia kulipa maana hatokuwa raisi na hela marafiki zake ndo wamesha anza kudai na ndoo maana kaamua aende makanisani akaombe kura
Chezea hela za watu wewe
Yeye mwenyewe anajua lowasa na ndo maana anajikita kwenye majimbo ys ubunge lkn yeye kama yeye ni hewatu,