Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
mmmhhhh Rev..
Asprin ni babu yagu tu ...
hahah lol
Ogopa vibabu vinavyocheza na vibinti!
mmmhhhh Rev..
Asprin ni babu yagu tu ...
hahah lol
Kwa hiyo hawa mademu wapya akina afr.. labda ndio akina xspin
Rev. hua unaanzia mbali!! yaani mdogomdogo mpaka umefika ulipotaka..lolCan I be your girl friend?
Mhola duh na mphala.
samahani kaka sipendi mtu akiniita Demu.....
samahani kaka sipendi mtu akiniita Demu.....
Rev. hua unaanzia mbali!! yaani mdogomdogo mpaka umefika ulipotaka..lol
Mashalaaaah, naona leo umeniita kwa cheo changu kabisaaaaaaa subiri kidogo nikutafutie dedication ya kusindikizia ujumbe huu.
Ogopa vibabu vinavyocheza na vibinti!
Haaaaa mi mwenyewe sijui wameniambukiza, nimeshtuka nshaanza kuongea kama wao sijui ki yahudi hicho haa haaa wachungaji wengine bwana sijui ma upako au nini.Hii ndiyo nini? Au mmenogewa na mahubiri ya mchungaji na kuanza kunena kwa lugha!
WanaJF naomba tu niwaulize swali hili,maana siku hizi kila kukicha tunaona post za ajabu na vile vile kuna zile zilizokwenda shule,na ili watu wajitathmini naomba tu wewe msomaji utakayepitia hapa ujaribu kuandika majina japo mawili matatu ya wale wanaokuvutia kwa post zao na sio mbaya ukatoa na sababu ni kivipi wanakuvutia ila sio lazima na kama kuna anayekukera naye sio mbaya ukimuandika ili members tujitathmini na tujielewe tunavyoonekana katika jukwaa hili.Na kwa kuanza mimi huwa navutiwa sana na post za Dark City aka babu na bibie Afrodenzi bila kumsahau mtani wangu LoyalTzCitizen.Naomba kuwakilisha ,ni mimi Paka Mweusi
Ningelikuwa wewe ningali mPM
mmmmhhhh Babu Asprini kazi yake nikukagua tu... hakuna lingine...
anaheshimu wajuukuu lakini lol
hahah
samahani kaka sipendi mtu akiniita Demu.....
moyo wataka majibu,
kimwana uje nitibu,
mwenzako wanipa taabu,
kwa kihoro cha zabibu,
uje unipezo mbivu,
nishamaliza uvumilivu,
moyo wangu uchakavu,
wameniweka rizevu,
uje kunipa faraja,
nigeuze niwe teja,
kwa penzi lako la haja,
nifiche kwa yako mapaja.
wasije wale mashoga,
mapenzi kuya vuruga,
tukakosa kujichunga,
mwishowe nikawa mega.
Hiyo nayo ni kama name calling kwa mujibu wa kanuni na katiba ya maxence...
kwani wewe sio demu?
Ha ha ha ha ha ha hii ni comment yako ya 2 sitohisahau hata kama ni kiipa JF kisogo ya kwanza ni ile uliyomwambiaga jamaa akupe avatar ya mzazi wake uweke kama ile ilikuwa inamkera.....
Mzazi nipo sema siku hizi siko active kivile kwa vile JF imeingiliwa kiasi flani kuna vijamaa vya uswazi vina ID kama 10 kati ya hizo 7 ni za kike wanakejeli na kutukana hovyo hovyo
Ila mimi sijabadili baba Mchungaji
Nkinki chi mmeku oko kanyi