afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Kwani anakukagua lini tena?
mmmhhh Rev nimesema babu hakaguagi wajukuu zake.....
Kwani anakukagua lini tena?
Hujanitendea haki lakini.....!!!!
Hebu wahi uje huku utimize wajibu wako. Usisahau mkongojo wangu, ee *****...?
Macho haya mama, yameshachoka. kila siku mawani mpya kwa ajili ya kuangalia vizuri wakati wa ukaguzi.....usijali babu....
je ile miwani bado unayo au unataka mpya...???
maana mmmmhhhh.
siujui unafanyiaga nini hizo miwani...
kila wiki mpya...
mmmhhh Rev nimesema babu hakaguagi wajukuu zake.....
mmmmhhhh Babu Asprini kazi yake nikukagua tu... hakuna lingine...
anaheshimu wajuukuu lakini lol
hahah
Macho haya mama, yameshachoka. kila siku mawani mpya kwa ajili ya kuangalia vizuri wakati wa ukaguzi.....
Huyu mchungaji wa kondoo wa kike anapoteza kondoo wa Bwana.Nimetumwa kuja kuwakomboa hawa wanakondoo.
Macho haya mama, yameshachoka. kila siku mawani mpya kwa ajili ya kuangalia vizuri wakati wa ukaguzi.....
:kiss::kiss:
Hahahahahaha Mkuu unanikumbusha kisa cha Mpemba mmoja kariakoo miaka ya nyuma,alitaka kuibiwa na kibaka wakati anaingia kwenye basi,basi yule mpemba kwa hasira akashuka katika lile basi na kisha akamweleza yule mwizi " yaani we kijana unataka kuniibia mimi basi leo naahirisha mambo yangu yote nakuchunga wewe na nakuhakikishia leo humuibii mtu hapa".Na kweli kila basi lililokuwa likifika kituoni mpemba anatangaza "eeeeh jamani polepole kuna mwizi hapa".Mpaka mwizi akaamua kubadilisha sehemu ya mawindo yake.
The Following User Says Thank You to Paka mweusi For This Useful Post:Hahahahahaha Mkuu unanikumbusha kisa cha Mpemba mmoja kariakoo miaka ya nyuma,alitaka kuibiwa na kibaka wakati anaingia kwenye basi,basi yule mpemba kwa hasira akashuka katika lile basi na kisha akamweleza yule mwizi " yaani we kijana unataka kuniibia mimi basi leo naahirisha mambo yangu yote nakuchunga wewe na nakuhakikishia leo humuibii mtu hapa".Na kweli kila basi lililokuwa likifika kituoni mpemba anatangaza "eeeeh jamani polepole kuna mwizi hapa".Mpaka mwizi akaamua kubadilisha sehemu ya mawindo yake.
Hapa ulikuwa unamjibu Mchungaji
Ama alikuwa anakagua ukajisahau
Kama haitoshi anayeitwa babu poa akasema ukweli
Mama unapoteza muda kubishana na redio. Hebu wahi huku bana...........najua unafanya kazi ngumu sana babu...
naomba umweleze Rev hukaguagi wajukuu zako ....
hahah lol
Mama unapoteza muda kubishana na redio. Hebu wahi huku bana...........
Yote 9 kwangu mimi namfagilia MWANAVILLAGE A.K.A MWANAKIJIJI:whoo:
Navutiwa sna na Afrodenzi na wengineo woootee:teeth:
Navutiwa sna na Afrodenzi na wengineo woootee:teeth:
Na wewe huwa unanivutia sana hasa pale unapojitokeza na kujificha,ila naomba nikuulize tu mama,humu ndani kuna jukwaa huwa watu wanaliita jukwaa la Maria Roza,nimejaribu kulitafuta sijaliona naomba unielekeze ni jukwaa gani hilo?