Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Na wewe huwa unanivutia sana hasa pale unapojitokeza na kujificha,ila naomba nikuulize tu mama,humu ndani kuna jukwaa huwa watu wanaliita jukwaa la Maria Roza,nimejaribu kulitafuta sijaliona naomba unielekeze ni jukwaa gani hilo?
Unanivutia sn nawe japo naogopa sna Paka mie! jukwaa linaitwa la mambo ya kikubwa ukitaka kuingia huko mtumia private sms Invisible nae atakuwezesha ila ni kutamu sna huko ukiiingia huwezi juta!