Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
umeona hapo chini ???
niliandika afr... kama wewe ulivyoikopi, sasa sioni uhusiano na wewe kupaniki maana afr...si afrodenzi
umeona hapo chini ???
Straight ninayoijua mimi si hiyo! Inabidi kuhamia jukwaa la wakubwa
niliandika afr... kama wewe ulivyoikopi, sasa sioni uhusiano na wewe kupaniki maana afr...si afrodenzi
CHINI? unataka ban wewe!
Baby nilishakuambia toka zamani kuwa kila ninachokifanya kwako kuonyesha mapenzi yangu naona hakitoshi naomba uniruhusu tu niendelee na madedication Laaziz wangu...
sasa unifafanulie sentensi yako...
Mh paka!!!!!! kwa upande wangu wanaonivutia kwa post zao wanajijua bila hata kuwataja ila kuhusu kukerwa mi sidhani kuna haja ya kukereka na keyboard kwa upande wangu hasa kwenye sredi zinazokera hata kuingia huwa siingii naishia juu tu, hata hivyo kila mtu ana uhuru wa kupost anachojisikia inawezekana anaenikera mimi anamfurahisha mwingine kwa hiyo huwa naenda kunakonifurahisha na kutimiza azma yangu ya kuingia JF, just to have fun hakuna kingine
afrodiziac
hahahahahah lol
Paka wewe..
mmmhh ur so romantic...
asante nakupendaga bure kwa sababu unaheshima kwa wanawake na wasichana wote ...
nafuatiliaga sana poster zako mpendwa...lol
ningependa zaidi kama next time uandike kinachoeleweka na si kutuchanganya wote...
i will apologies for my reaction "Sorry"
Kamata hii basi kwa leo Laaziz wangu....
YouTube - Selina_AliCom fet Mishi
Act calling you have been notified and warned accordingly...............Unasikiaaga raha akikukagua?
Act calling you have been notified and warned accordingly...............
accepted, na wewe next time kabla hauja react soma vizuri post.
Act calling you have been notified and warned accordingly...............
Act calling you have been notified and warned accordingly...............
Huyu mchungaji wa kondoo wa kike anapoteza kondoo wa Bwana.Nimetumwa kuja kuwakomboa hawa wanakondoo.bado ligi yenu na baba mchungaji inaendeleaga tu?
babu mi nilizani unakata kucha sasa kumbe bado upo.....
Hebu wahi uje huku utimize wajibu wako. Usisahau mkongojo wangu, ee *****...?babu mi nilizani unakata kucha sasa kumbe bado upo.....
haya ninau download sasa...
mmmmhhh nimeangalia mwanzo..
nimependa hapo wako beach pembeni ya moto....
mmmhh kuna raha duniani..lol