QUOTE=Paka mweusi;Ong`wise kinehe koi wachilagwa?
Nalhe whiza bageshi. Ulemanha abanhu ghete Burn balhe na makoye!
bhe bhe nkima, waupelaga mlugo?
Wamebadili ID's!
kuna mijitu haina akili, mtu ameandika jukwaa hili, halafu pumbavu jingine linakuja kusema eti jukwaa lipi.aaaghrrrr.
mimi nyandaigobeko ndio navutiwa na post zake
ila taratibu tutafika
Kwa hiyo hawa mademu wapya akina afr.. labda ndio akina xspin
Mamushka una boifrendi?
Du FMES wale wazee wa umeme? du hivi siku hizi xspin, fiede80 na nguli wamehamia wapi, maana ulikuwa ukitaka project unawauliza wapwa halafu wanakuambia kama dume jike
Wamebadili ID's!
bhe bhe nkima, waupelaga mlugo?
Mzazi nipo sema siku hizi siko active kivile kwa vile JF imeingiliwa kiasi flani kuna vijamaa vya uswazi vina ID kama 10 kati ya hizo 7 ni za kike wanakejeli na kutukana hovyo hovyo
Hii si ndio inaitwa name calling?Hivi Chrispine aliendaga wapi? na Geoff je? Mi ananifurahisha Invisible na ban zake
Ila mimi sijabadili baba Mchungaji
Hayo ndio ninayoyasema maana humu ukiingia humu kuna kila kitu,hasira,vichekesho,maudhi n.k hapo naona jamaa kashindwa kujizuia hasira zake,haya tuache hayo mimi naongezea wapwaz wote huwa wananifurahisha sana hasa wanapoanza mijadala yao ya infii na tathmini za weekend.
We tangu uhamishe makao pale MK umekuja kwa staili ya kutisha. Unanywea wapi na nguli siku hizi?
Swali ni gumu..................na ndiyo maana wengi wanalikwepa swali na kurukia hoja ambazo hata hazijaulizwa..................
Yani huyu burn sijui alilala wapi jana kaamka na mihasira basi anatwanga tu lolote linalokuja, atakua kapigwa kibuti na mpenzi huyu.
Tatizo lako we mchoyo mpwa....kizuri kula na nduguyo bana..............hahahahahaaa..tumekukamata mpwa, siku hizi gongo mtindo mmoja mitaa ya migombani.
Tatizo lako we mchoyo mpwa....kizuri kula na nduguyo bana..............
Hiyo nayo ni kama name calling kwa mujibu wa kanuni na katiba ya maxence...Wakati mwingine unaandika kama SuperStar! Mnafanana sana
Hayo ndio ninayoyasema maana humu ukiingia humu kuna kila kitu,hasira,vichekesho,maudhi n.k hapo naona jamaa kashindwa kujizuia hasira zake,haya tuache hayo mimi naongezea wapwaz wote huwa wananifurahisha sana hasa wanapoanza mijadala yao ya infii na tathmini za weekend.
Tatizo lako we mchoyo mpwa....kizuri kula na nduguyo bana..............
Sina boyfriend Burn, niko sokoni bado sema.Mamushka una boifrendi?