Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Hivi wewe Asprin ndiye Afrodenz? Nadhani hii si name calling
Mchungaji hebu ntake radhi. mi kikojoleo changu ni cha kushikilia bana. Afu nshakula chumvi ya kutosha....
Hivi wewe Asprin ndiye Afrodenz? Nadhani hii si name calling
Uwiii Rev anywayz nikikosa kabisa bfriend nitatafuta gfriend, kama ulikua kichwani kwangu nampango huo.Hahahahahaah kwanini usimuulize kama ana girl friend?
Hii si ndio inaitwa name calling?
Ewaaaaaaaa...uchaguzi umepita sasa kazi imebaki moja....Eat them beers!sasa tutaanza kukaa tena vikao vyetu pale migombani maana wewe na nguli tumewapata sasa ni kazi kumsaka geof na kumualika mpwa mpya superstar tehe tehe
Aiii!Mchungaji hebu ntake radhi. mi kikojoleo changu ni cha kushikilia bana. Afu nshakula chumvi ya kutosha....
WanaJF naomba tu niwaulize swali hili,maana siku hizi kila kukicha tunaona post za ajabu na vile vile kuna zile zilizokwenda shule,na ili watu wajitathmini naomba tu wewe msomaji utakayepitia hapa ujaribu kuandika majina japo mawili matatu ya wale wanaokuvutia kwa post zao na sio mbaya ukatoa na sababu ni kivipi wanakuvutia ila sio lazima na kama kuna anayekukera naye sio mbaya ukimuandika ili members tujitathmini na tujielewe tunavyoonekana katika jukwaa hili.Na kwa kuanza mimi huwa navutiwa sana na post za Dark City aka babu na bibie Afrodenzi bila kumsahau mtani wangu LoyalTzCitizen.Naomba kuwakilisha ,ni mimi Paka Mweusi
Hebu njoo huku....Nimeuliza wako wapi, kama unajua walipo nielekeze
jina lake na maandishi yake ni vya kike baba mchungaji.
Aiii!
Hapo umeguna au umestuka?Aiii!
Mchungaji hebu ntake radhi. mi kikojoleo changu ni cha kushikilia bana. Afu nshakula chumvi ya kutosha....
hahahahahaaa..tumekukamata mpwa, siku hizi gongo mtindo mmoja mitaa ya migombani.
Uwiii Rev anywayz nikikosa kabisa bfriend nitatafuta gfriend, kama ulikua kichwani kwangu nampango huo.
Kwakweli we mchungaji ni wa makanisa yaleee ndo maana una ruhusu ushoga, kwa hiyo mamushka awe mwanaume eeh, kweli dunia imejiishia .Hahahahahaah kwanini usimuulize kama ana girl friend?
Mhola duh namphala.Ong`wise kinehe koi?
Mhola duh na mphala.Ong`wise kinehe koi?
mmmmhh baba watooo
unataka kunipa magonjwa ya moyo au ndo vipi tena..
watoto bado wachanga sana nani atawanyonyesha ..??
hahahahahah lol
asante sna mkuu.. na we ubarikiwe hata mi napenda gana poster zako na picha unazowekaga....
Sijui huyu Burn kalala wapi jana, basi kaamka na mi hasira yakee anatwanga tu linalokuja kichwani, atakua kapigwa kibuti na darii wake huyu.
Hivi wewe Asprin ndiye Afrodenz? Nadhani hii si name calling