Nani aliyepanga haya mauaji ya hawa Marais Abraham Lincoln na John Kennedy?

Eeh bana eeh imekaa safi sana hiyo!!
hii ni copy and past toka gazet rai no 686 la feb 2007 alhamis mwandish
WILLIAM SHAO heading WANAOTAKA KUONA YALIOFICHIKA zaid soma hum the
secret behind science milacle,na how to secceed Eiyer njoo ubishe hujaumiza kichwa.....
 
hii ni copy and past toka gazet rai no 686 la feb 2007 alhamis mwandish
WILLIAM SHAO heading WANAOTAKA KUONA YALIOFICHIKA zaid soma hum the
secret behind science milacle,na how to secceed Eiyer njoo ubishe hujaumiza kichwa.....

Inawezekana hata hujui ulichokisema

Tunaweza kufanya utafiti wa jambo moja na tukaja na jibu moja
Mtu akianza kusoma utafiti mmoja na kuja kuusoma wa pili atasema kuwa wa pili amekopi na kupaste!
 
"Rais Lincoln alizaliwa Februari
12, 1809 na kufariki Aprili 15,
1865 akiwa na umri wa miaka
56. Rais Kennedy alizaliwa Mei
29, 1917 na kufariki dunia
Novemba 22, 1963 akiwa na umri wa miaka 46."

Kabla ya kusoma hapo, niliwaza huenda ikawa mambo ya astrology! But kutokana na hizo tarehe za kuzaliwa ni wazi kwamba sio astrology but kuna force nyengine zaidi ya astrological forces!

Nimewazia kuhusu mpango wa Mungu but nimetoka kapa kwa kuamini Mungu hawezi kupanga kitu unreasonable!

Mmmh! Hiyo burden sijui hata tumbebeshe nani!!!
Coz naamini hata shetani hawezi kupanga hivyo!

Kudadadeki, nikipata muda nitajaribu kutafuta sababu wa hiyo makitu!
...
Jee wewe (Eiyer) unafikiri ni kwanini imetokea hivyo?
 
"Rais Lincoln alizaliwa Februari
12, 1809 na kufariki Aprili 15,
1865 akiwa na umri wa miaka
56. Rais Kennedy alizaliwa Mei
29, 1917 na kufariki dunia
Novemba 22, 1963 akiwa na umri wa miaka 46."

Kabla ya kusoma hapo, niliwaza huenda ikawa mambo ya astrology! But kutokana na hizo tarehe za kuzaliwa ni wazi kwamba sio astrology but kuna force nyengine zaidi ya astrological forces!

Nimewazia kuhusu mpango wa Mungu but nimetoka kapa kwa kuamini Mungu hawezi kupanga kitu unreasonable!

Mmmh! Hiyo burden sijui hata tumbebeshe nani!!!
Coz naamini hata shetani hawezi kupanga hivyo!

Kudadadeki, nikipata muda nitajaribu kutafuta sababu wa hiyo makitu!
...
Jee wewe (Eiyer) unafikiri ni kwanini imetokea hivyo?

Mkuu kuna watu nyuma ya hii kadhia

Haya sio matukio ya kutokea kwa bahati mbaya au mambo kujirudia kibahati bahati!
 
Lincoln alipigwa risasi akiwa katika ukumbi ulioitwa “Ford” kwa heshima ya aliyekuwa mtengenezaji maarufu wa magari duniani aliyeitwa Henry Ford.
Henry Ford alikuwa na umri wa miaka 2 tu wakati Lincolin anauwawa, huo ukumbi ulipewa vipi jina lake kwa heshima yake? Hii inatibua story nzima.
 
Eiyer ulichofanya sio tafiti umetafsiri tu link moja ntakutajia mda si mrefu na umetumia udhaifu wa watz kusoma newz hasa mitandao ni hujafanya tafiti usidanganye......

Naweza kukupa link hata sasa yenye mambo haya zaidi ya 5

Lakini hiyo bado haithibitishi kuwa sijafanya utafiti

Soma nilichokujibu hapo juu!!
 
Eiyer ulichofanya sio tafiti umetafsiri tu link moja ntakutajia mda si mrefu na umetumia udhaifu wa watz kusoma newz hasa mitandao ni hujafanya tafiti usidanganye......

Naweza kukupa link hata sasa yenye mambo haya zaidi ya 5

Lakini hiyo bado haithibitishi kuwa sijafanya utafiti

Soma nilichokujibu hapo juu

Hii hapa moja:William Shao
 
Eiyer huku nikutafuta umaarufu wa chee unavyokoments as if umefanya strong research umetafsiri hii story hadi nukta najua nachoongea hii sio mpya man
 
hii ni copy and past toka gazet rai no 686 la feb 2007 alhamis mwandish
WILLIAM SHAO heading WANAOTAKA KUONA YALIOFICHIKA zaid soma hum the
secret behind science milacle,na how to secceed Eiyer njoo ubishe hujaumiza kichwa.....

Ha ha ha....Halafu watu wanamsifia eti ni greatest thinker....Kumbe ka copy...Dahhh

Litakuwa lile gazeti la Propaganda la CCM...Tazama Tanzania
 
Eiyer ulichofanya sio tafiti umetafsiri tu link moja ntakutajia mda si mrefu na umetumia udhaifu wa watz kusoma newz hasa mitandao ni hujafanya tafiti usidanganye......

Kuna gazeti linaitwa Tazama Tanzania la propaganda za CCM..huenda ndo ka-copy huko..
 
Mada kama hizi inabidi upate kikombe cha kahawa kabla ya kuchangia
Hebu ngoja nitafakari kwanza maana naogopa kukurupuka
 
Ha ha ha ha ha!!!
Eiyer kama unapenda umaarufu wa chee lata na hii UTATA WA TAREHE 11NOV utapata habari nyingi tu nenda kakusanye secondary data njoo tililika watu huwa hawasomi itawapata tu na utaonekana great thinker
 



Mkuu Eiyer kwanza Kabisa nikupongeze kwa habari yako nzuri Na yenye changamoto nyingi Na yenye kuitaji kufikiria Kwa kina sn Na Kua Na ushahidi Wa kutosha!


Taifa la Marekani limepitia mambo mengi sn mpk kufikia hapo lilipo! Na kiasi Fulani hao marais wote wawili vifo vyao vilikua Ni Vya kupanga! Na waliohusika Ni System yenyewe KTK kutekereza Hayo mauaji! NA Ndio Maana wale walioua hao marais na wao waliuawa ili kufuta ushahidi Kabisa!

Ngoja niongeze kidogo Kwa kusoma vyanzo mbalimbali Vya hao marais then Nitakuja Na mchango mwingine kidogo! Lkn Kwa sasa hivyo Ndio navyoweza Kusema!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom