Namibia: Serikali yaweka wazi kuwa Rais Hage amekutwa na Ugonjwa wa Saratani

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1705898034924.png
Serikali imeweka wazi taarifa za vipimo vya Afya vya Rais Hage Geingob (82) na kuueleza Umma kuwa kiongozi huyo amekutwa na Ugonjwa wa Saratani na anatarajiwa kuanza matibabu kama ambavyo Madaktari wake walivyoelekeza.

Taarifa ya Serikali imesema Rais huyo amekuwa akifanya vipimo vya afya mara kwa mara tangu aingie Madarakani mwaka 2014 ingawa Wananchi walianza kuhoji kuhusu uimara wa Afya yake kabla hata hajaingia Ikulu. Mwaka 2023 aliripotiwa kufanyiwa Upasuaji wa Mishipa ya Moyo.

Hata hivyo, Serikali imesema Rais Hage ataendelea na shughuli zake za Urais pamoja na kuongoza Vikao vya Baraza la Mawaziri ambalo yeye ni Mwenyekiti wake. Ikumbukwe Namibia inatarajiwa kufanya Uchaguzi Mkuu Novemba 2024.

Namibia imekuwa kati ya Nchi chache Barani Afrika ambazo hutoa taarifa kuhusu Afya za Viongozi wake ikiwa ni tofauti na Serikali za Nchi nyingi ambazo taarifa za hali za Kiafya za Viongozi huwa na Siri na kusababisha Umma kupatwa na taharuki za mara kwaa mara.

===========

Namibian President Hage Geingob will start treatment for cancer after routine medical checkups led to the detection of “cancerous cells”, his office has said.

In a statement from the Namibian Presidency on Friday, it said that “as part of regular annual medical examinations” the 82-year-old leader had a colonoscopy and a gastroscopy on January 8, followed by a biopsy.

“The results revealed cancerous cells,” the statement said.

“On the advice of the medical team, President Geingob will undertake appropriate medical treatment to deal with the cancerous cells,” it added.

Geingob’s office gave no more details on his diagnosis but said he would continue working.

“With Presidential and National Assembly elections programmed for the end of the year 2024, The Presidency wishes to inform the Namibian public that President Geingob will continue to carry out presidential duties, alongside the Cabinet, of which he is the Chairperson,” the statement said.

Health scares have followed the president even before he took office.

In 2013 Geingob underwent brain surgery. A year later, he told the public that he had survived prostate cancer.

In 2023, the tall, deep-voiced leader, underwent an aortic operation in neighboring South Africa.

Geingob, who is serving his second term, was first elected as president in 2014 after spending 12 years as the country’s longest-serving prime minister.

Namibia will hold elections to choose a new leader in November.

Geingob will not be standing for re-election.

Last year, the governing party, the South West Africa People’s Organisation (SWAPO), named Netumbo Nandi-Ndaitwah as its candidate for the election. She is the party’s vice-president and Namibia’s current deputy prime minister.

AL JAZEERA
 
Back
Top Bottom