Nakumatt Supermarket: Mwisho wa kuchukua sukari ni kilo tano

Serikali ya jpm ilikataza sukari ya nje ili viwanda vya ndani vinufaike ni jambo zuri alifanya baada ya kuhakikishiwa demand will meet to consumers.
Ajabu imegeuka sukari imekuwa bidhaa adim km haipatikan masuper agent wamefungia ndani iadimike wauze ghali kwa faida zao.kweli hawa matajir ndo mana ht akigonga nyanya sokoni halipishwi bali anapondwa had afe.matajiri wana rohombaya sana ingawa me tajiri pia
Kiukweli sukari imekuwa adimu kutokana na kiwanda
kinachotegemewa katika uzalishaji wa sukari tanzania cha
kilombero sugar kusimamisha uzalishaji kutokana na kukifanyia
matengenezo,toka mwenzi wa pili mbaka huu mwezi tarehe
23 ndo uzalishaji unaanza tena
 
Tumekuwa sawa na Venezuela sasa, kweli siasa za kijamaa ni mbaya sana
Kiukweli sukari imekuwa adimu kutokana na kiwanda
kinachotegemewa katika uzalishaji wa sukari tanzania cha
kilombero sugar kusimamisha uzalishaji kutokana na kukifanyia
matengenezo,toka mwenzi wa pili mbaka huu mwezi tarehe
23 ndo uzalishaji unaanza tena
 
Kiukweli sukari imekuwa adimu kutokana na kiwanda
kinachotegemewa katika uzalishaji wa sukari tanzania cha
kilombero sugar kusimamisha uzalishaji kutokana na kukifanyia
matengenezo,toka mwenzi wa pili mbaka huu mwezi tarehe
23 ndo uzalishaji unaanza tena
 
Na bado , unga wa yanga na maharage ya foleni vinafuatia , si walisema huyu ni nyerere mpya .
Safi sana tunachotaka kurudisha nchi katika mstari! Na mambo yatanyooka tu tyulikwishaona huko nyuma. Kuna giant 5 countries hebu watanzania tuache uviuvu tusaome walityoppitia ndio tuelewe maendeleo hayaji kwa njia za mkatyo au lelemama we have to strugle!
Kifupi tunaweza suffer sisis kwa ajili ya watoto wetu which is very much okay!
 
Safi sana tunachotaka kurudisha nchi katika mstari! Na mambo yatanyooka tu tyulikwishaona huko nyuma. Kuna giant 5 countries hebu watanzania tuache uviuvu tusaome walityoppitia ndio tuelewe maendeleo hayaji kwa njia za mkatyo au lelemama we have to strugle!
Kifupi tunaweza suffer sisis kwa ajili ya watoto wetu which is very much okay!
Dhiki haijawahi kuwa maendeleo .
 
Kwani huyo Magu alipokuwa anapiga marufuku sukari kuingiza toka nje watu wa Ikulu anaowatuma kufuatilia ukweli hawakumpa data kamili au zingine walizificha.
 
Tanzania Tunaviwanda Vi4 Vya Sukari.
1. TPC MOSHI. (KILIMANJARO)
2. KAGERA SUGAR (KAGERA)
3. KILOMBERO SUGAR (MORO)
4. MTIBWA SUGAR (MORO)

Zanziba Nilisikia Wanajenga Lakn Sina Uhakika Kama Kipo.

Viwanda Vya Sukari Huwa Havifanyi Kazi Mwaka Mzima Japo Uzalishaji Wake Unatosha Kabisa Hata Kama Vikizalisha Kwa Miezi9 Tu.

Mfano, Baadhi Ya Viwanda Sasa Vimesitisha Uzalishaji (Msimu Kufungwa) Kwa Muda Kutokana Na Sababu3 Kuu.
1. Matengenezo (Maintenance)
2. Kupishana Na Kipindi Cha Masika.
3. Kusubiri Miwa Ikuwe Na Iwe Mingi.

Viwanda Vingi Huwa Vinafungwa February Hadi June Ndipo Huwashwa Tena Kuendelea Na Uzalishaji.

MFANO.
Mtibwa Sugar Na Kilombero, Kwasasa Vimesimama Kwa Sababu Tajwa Hapo Na Nyinginezo.

Viwanda Hivi Ni Vingi Sana Sana Na Uzalishaji Wake Unatosha Kabisa Kwa Walaji Wa Tanzania, Tatzo Ni Ufisadi Ulozoeleka Sukari Nyingi Kupelekwa Nje Kama Malighafi (Export Sugar)

Sukari Ya Malawi Haina Ubora Kama Yetu, Sukari Yetu Imepitia Viwango Vingi Na Wanauwezo Wa Kuiweka Ktk Makundi Mengi Yani Ya Mtumiaji, Malighafi Na Sukari Maalumu.

Baada Ya Serikali Kuadhimia Kupuguza Bei, Wafanyabiashara Ambao Walikuwa Wakinufaika Kwa Kupeleka Sukari Kenya Na Kwngneko Kama Malighafi, Wameamua Kuficha Sukari Tu Ili Serikali Iumbuke Lakn Si Kwel Kwmb Sukari Hamna.

Serikali Igumie Wataalam Tena Hasa Wenye Uzoefu Wa Idara Hii Ikiwezekana Waongee Hata Na Wafanyakaz Wa Chini Kabisa, Watapata Majibu Kuhusu Hii Ishu.

Zaidi Na Zaidi Mi Nafikiri Serikali Ingefanya Hivi.
Kila Kiwanda Kihudumie Kanda Yake, Hii Itasaidia Kwny Uthibiti Wa Demand And Supply.

MFANO.

KAGERA SUGAR (KAGERA)
IHUDUMIE MIKOA YA.
1. Kagera.
2. Geita.
3. Mwanza.
4. Mara.
5. Kigoma.
6. Simiyu.

TPC MOSHI (KILIMANJARO)
IHUDUMIE.
1. Kilimanjaro,
2. Arusha.
3. Manyara.
4. Singida.
5. Shinyanga.
6. Tabora.

KILOMBERO SUGAR NA MTIBWA SUGAR (MOROGORO)
ZIHUDUMIE.
1. Morogoro.
2. Dodoma.
3. Iringa.
4. Njombe.
5. Ruvuma.
6. Mbeya.
7. Songwe.
8. Lindi.
9. Mtwara.
10. Zanzibar.

Ukifanyika Utafiti Mzuri Na Wa Kina Naamini Serikali Inaweza Kugawa Majukumu Kwa Kila Kiwanda Na Kila Kanda, Hii Itaketa Faida Kubwa Hata Ktk Upangaji Wa Bei.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwani huyo Magu alipokuwa anapiga marufuku sukari kuingiza toka nje watu wa Ikulu anaowatuma kufuatilia ukweli hawakumpa data kamili au zingine walizificha.
Kumbuka Walolalamika Ni Wazalishaji Na Si Serikali.
Serikali Imezuia Kwa Kuwafeva Wazalishaji Lakn Wauzaji Wa Jumla Nao Wameificha Hiyo Sugar.
Kama Umeishi Mipakani Utagundua Sukari Ya Tz Ni Dili Nje Ya Mipaka Inatumika Kama Malighafi
 
Tanzania Tunaviwanda Vi4 Vya Sukari.
1. TPC MOSHI. (KILIMANJARO)
2. KAGERA SUGAR (KAGERA)
3. KILOMBERO SUGAR (MORO)
4. MTIBWA SUGAR (MORO)

Zanziba Nilisikia Wanajenga Lakn Sina Uhakika Kama Kipo.

Viwanda Vya Sukari Huwa Havifanyi Kazi Mwaka Mzima Japo Uzalishaji Wake Unatosha Kabisa Hata Kama Vikizalisha Kwa Miezi9 Tu.

Mfano, Baadhi Ya Viwanda Sasa Vimesitisha Uzalishaji (Msimu Kufungwa) Kwa Muda Kutokana Na Sababu3 Kuu.
1. Matengenezo (Maintenance)
2. Kupishana Na Kipindi Cha Masika.
3. Kusubiri Miwa Ikuwe Na Iwe Mingi.

Viwanda Vingi Huwa Vinafungwa February Hadi June Ndipo Huwashwa Tena Kuendelea Na Uzalishaji.

MFANO.
Mtibwa Sugar Na Kilombero, Kwasasa Vimesimama Kwa Sababu Tajwa Hapo Na Nyinginezo.

Viwanda Hivi Ni Vingi Sana Sana Na Uzalishaji Wake Unatosha Kabisa Kwa Walaji Wa Tanzania, Tatzo Ni Ufisadi Ulozoeleka Sukari Nyingi Kupelekwa Nje Kama Malighafi (Export Sugar)

Sukari Ya Malawi Haina Ubora Kama Yetu, Sukari Yetu Imepitia Viwango Vingi Na Wanauwezo Wa Kuiweka Ktk Makundi Mengi Yani Ya Mtumiaji, Malighafi Na Sukari Maalumu.

Baada Ya Serikali Kuadhimia Kupuguza Bei, Wafanyabiashara Ambao Walikuwa Wakinufaika Kwa Kupeleka Sukari Kenya Na Kwngneko Kama Malighafi, Wameamua Kuficha Sukari Tu Ili Serikali Iumbuke Lakn Si Kwel Kwmb Sukari Hamna.

Serikali Igumie Wataalam Tena Hasa Wenye Uzoefu Wa Idara Hii Ikiwezekana Waongee Hata Na Wafanyakaz Wa Chini Kabisa, Watapata Majibu Kuhusu Hii Ishu.

Zaidi Na Zaidi Mi Nafikiri Serikali Ingefanya Hivi.
Kila Kiwanda Kihudumie Kanda Yake, Hii Itasaidia Kwny Uthibiti Wa Demand And Supply.

MFANO.

KAGERA SUGAR (KAGERA)
IHUDUMIE MIKOA YA.
1. Kagera.
2. Geita.
3. Mwanza.
4. Mara.
5. Kigoma.
6. Simiyu.

TPC MOSHI (KILIMANJARO)
IHUDUMIE.
1. Kilimanjaro,
2. Arusha.
3. Manyara.
4. Singida.
5. Shinyanga.
6. Tabora.

KILOMBERO SUGAR NA MTIBWA SUGAR (MOROGORO)
ZIHUDUMIE.
1. Morogoro.
2. Dodoma.
3. Iringa.
4. Njombe.
5. Ruvuma.
6. Mbeya.
7. Songwe.
8. Lindi.
9. Mtwara.
10. Zanzibar.

Ukifanyika Utafiti Mzuri Na Wa Kina Naamini Serikali Inaweza Kugawa Majukumu Kwa Kila Kiwanda Na Kila Kanda, Hii Itaketa Faida Kubwa Hata Ktk Upangaji Wa Bei.
Mkuu yani hapo ni umemaliza kila kitu...ilobaki ni kumshauri Rais aitumbue bodi ya sukari nchini.

Mi nalia na wahujumu uchumi tu.
 
Kama sukari imepungua nchini si tupunguze matumizi ya sukari mpaka sukari itakapokuwa ya kutosheleza hii ndio njia ya kukabiliana na hili kwa sisi wananchi wa chini huku serikali inaendelea na mipango mingine ya kuagiza kutoka nje.

Jamani tuwe na mawazo chanya na mabadiliko.
 
Serikali ya jpm ilikataza sukari ya nje ili viwanda vya ndani vinufaike ni jambo zuri alifanya baada ya kuhakikishiwa demand will meet to consumers.
Ajabu imegeuka sukari imekuwa bidhaa adim km haipatikan masuper agent wamefungia ndani iadimike wauze ghali kwa faida zao.kweli hawa matajir ndo mana ht akigonga nyanya sokoni halipishwi bali anapondwa had afe.matajiri wana rohombaya sana ingawa me tajiri pia


Asante tajiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom